Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Amebezi kwenye policy modelPublic administration and political science. Alikuwa pamoja na Rweikaza Mukangala.
Pole nyingi kwa wafiwa na RIP Ruge..
Ni kweli kabisa Mkuu mleta bandiko..
Familia hii ni wastahimilivu sana.
Yani kwenye msiba mnakaa na MUUWAJI wa kijana wenu bila kumbughudhi kwa namna yoyote ile, Ustaarabu mkubwa sana huu..
Ila jamaa tako ana roho yake mwenyewe aisee..kutokuwa na chembe ya aibu mahala kama pale lazima atakuwa alishafanyiwa surgery na mshipa wa aibu uliondolewa Mwilini kwake siku nyingi.
Pascal do you believe heaven is right here on earth?Hakuna popote nimesema humu neno langu ni kama sheria?.
Kuna ulimwengu mbili, ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho.
Kwenye ulimwengu wa mwili Newton's laws za mass, distance and time zina apply.
Kwenye ulimwengu wa roho, hakuna mass, distance wala time. Huu ndio ulimwengu wa karma. Mbinguni na peponi ni hapa hapa duniani. As we speak now, there are people lives in a living hell hapa hapa duniani. Na there are people who lives in the heaven on earth.
P
Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, Je, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na KATEKISTA?
Ukitilia maanani ukaribu wa familia ya marehemu na Askofu M. Kilaini
Ujirani uliopo kijijini kati ya Askofu na Prof. Mutahaba
Mazingira ya mwamko wa kidini ya RC uliopo hapo kijijini
Ujirani na Parokia yake ya Itahwa
Ushiriki wa viongozi hao wa dini katika kuaga mwili wa Marehemu hapo Bukoba Club/Gymkhana
Mwisho wa Mwisho ibada ya mazishi ikaishia kuendeshwa na KATEKISTA ikishuhudiwa viongozi hao wa kanisa kushindwa kushiriki ibada hiyo.
Kwanza Sio utamaduni wa eneo hilo kwa mtu kama wa aina ya Mutahaba.
Mwisho wa RUGE imekuwa simanzi kubwa kwani mbwembwe za mitaani zimezimwa na KANISA lake.
The very last RESPECT imeua yote.
bashite siku akifa kabla yangu ntakunywa serengeti lite zote za ambiance nikitoka apo nachukua malaya kwa ajili 3some moja kali sana afu kwenye msiba wake naenda na maua kama yeye alivoenda kwa ruge leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi Yesu alialinzisha Kanisa Katoliki? acha kupotosha watu, soma Biblia kwa msaada wa Roho wa Mungu.Hilo ndio Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ...Kanisa alilolianzisha Yesu peke yake...
Halidanganyi wala Halidanganyiki
kwa kawaida ya kanisa katoliki kama mtu ni kuanzia miaka 18 na alikuwa hashiriki jumuiya yeye binafsi basi anakuwa amejiondolea haki fulani pindi anapopatwa na jamboIna maana ushiriki wao ulikuwa sio mzuri?
kwa maana ya mtoto ama wazazi ama wote?
ππππna umwambie kbs hujavutiwa naye. achek na WANKIRAZENDE
Amemaliza mda wake wa kuwa VC lakini bado anafundisha na last week alisimamia mtihani wa madogoasante mkuu, vp yeye alistaafu lini mkuu?
Yeye hana PhD ya Koroshowhv huyu Prof. Mutahaba ni msomi wa fani gani?
AiseeePole nyingi kwa wafiwa na RIP Ruge..
Ni kweli kabisa Mkuu mleta bandiko..
Familia hii ni wastahimilivu sana.
Yani kwenye msiba mnakaa na MUUWAJI wa kijana wenu bila kumbughudhi kwa namna yoyote ile, Ustaarabu mkubwa sana huu..
Ila jamaa tako ana roho yake mwenyewe aisee..kutokuwa na chembe ya aibu mahala kama pale lazima atakuwa alishafanyiwa surgery na mshipa wa aibu uliondolewa Mwilini kwake siku nyingi.
Thanks ... nimekusoma mkuukwa kawaida ya kanisa katoliki kama mtu ni kuanzia miaka 18 na alikuwa hashiriki jumuiya yeye binafsi basi anakuwa amejiondolea haki fulani pindi anapopatwa na jambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mathayo 16:18Wapi Yesu alialinzisha Kanisa Katoliki?
Kusema nimepotosha bila kuonesha ni wapi nimepotosha nakuweka kwenye kundi la washenzi kama siyo wajingaacha kupotosha watu,
Halafu nikishasoma, ndio itaondoa huo ukweli niliokupa...?soma Biblia
kwa msaada wa Roho wa Mungu.