TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

We nae hebu fatisha uliponiquote uone nilichokimaanisha

Kwenye msiba wa Ruge siku ya kumuaga pale bukoba mjini katika viwanja vya gymkhana mc walikuwa ni Hassan Ngoma na Babie Kabae

Kama ni kuhusu bambataa la kitinda mimba alivaa mkoti mkubwa na bado wambea tuliliona lishape
Tumeelewana nadhani
Ya kibonde???

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

" Tunashukuru kwamba Ruge ametuachia Watoto asingetuachia tungeumia zaidi " - Mama Ruge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…