Hadhi yako haitakuja kuwa sawa na JPM hadi unaingia kaburini. Heading iko sahihi unless ufunguliwe uzi wa Jpm kumlilia Ruge.Mods hebu rekebisheni hyo heading!Isomeke tu Ruge afariki dunia..au bas andikien watanzania wamlilia[emoji58]
Polepole hatoshi kwenye hiyo nafasi. Kila barua anakosea tarehe sijui anawaza nini?
hahahahaha hii salamu iliandaliwa kitambo sana waljua atakufa inaezekana target yao ilikuwa mwaka jana
Mbona wanasema tigo ikifel mgonjwa anaweza badilishiwa figo kwa kupewa na na MTU ama ndugu je ruge alikosa MTU wa kumpa figo? Hata kama ni gharama ila kwa status ya ruge mbona watu wangechanga?Kuna chronic na Acute kidney failure hiz zinatofautiana.... Hiyo chronic Mara nyingi haioneshi Symptoms ila mgonjwa ana experience uchovu... Highblood pressure.. Ambayo hupelekea mapigo yake ya moyo kuwa abnormal n. K.
Wataendelea wengine[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! ujumbe wako umenigusa hadi mimi.May his soul rest in peaceImethibitika umefariki kaka!
Ni dhahiri pasi Na shaka kwamba sehemu yenye utajiri Mkubwa kuliko zote hapa duniani ni makaburini; Fikra , mawazo Na ndoto bora zenye kuutajirisha ulimwengu zimezikwa!
Kwa Mara ya kwanza nimeonana nawe Mwaka 2013 nikiwa EATV wakati ambao nilisimamishwa kazi baada ya kuweka maudhui Fulani mtandaoni, ulitaka niwe sehemu ya vijana wako wa clouds 360, katika mazungumzo tukagundua wote tuna upenzi wa kusoma vitabu..uliniita bwana mikakati.
Duniani kuna watu wa tabia tofauti, kuna wapenda vitu, fedha nk..ukikutana na Ruge hakuwa akikupa fedha Bali maarifa, amesaidia Na kujenga vijana wengi hasa Kwa maarifa ya kimaisha..mara ya mwisho tulionana mahali tukazungumza Kwa SAA 3, sikuwahi kujua kama unakijana wa rika langu..ulinijuza Na Kwa Bahati nilikutana nae mahali Fulani kikazi.
Thamani ya Ruge Kwa wengi ni zaidi ya kipande cha ardhi cha Nyamongo chenye dhahabu inayofikia wakia milioni 36!
Ruge ulikua ni zaidi ya utajiri wa gesi yenye ujazo wa futi tril.26.99 ambayo ni sawa Na Mapipa bil.4.86!
Ulikua kaka, baba Na boss Kwa wengi!
Hakika makaburi yameelemewa Na utajiri!
Pumzika Kwa amani Mzee wa mikakati..tutakukumbuka daima!
Adrian!
Anaitwa Ruge,siyo Rugemalila.Pumzika kwa amani Rugemalila,
Tutakukumbuka kwa mema mengi,
Poleni wote walioguswa na msiba huu,
''Nchi na vyote vijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake''.
Mfano hakua anaumwa Figo, so what??Figo,figo,figo. Hivi ni luis figo au figo ambayo tunaelezwa inaweza badilishwa kwa kuinunua kwa mtu ama ndugu kuamua kukupa bure! Nakumbuka ugonjwa huu ulifichwa kiaina na tangia familia ilipoamua kujitokeza na kuomba msaada wa matibabu (ambayo kwa siku ilikua ni zaidi ya mikioni TANO). bu baaa hata siku tano hazijaisha ametangulia. Swali: NI KWELI RUGE ALIKUA ANAUMWA FIGO?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe hujui kama haya maisha uliyonayo yana mwisho wake? unadhani utaishi milele au?Kwani ruge alijua kwamba uhai wake unafikia tamati?
Mkuu ulimaanisha kukisaidia Chama tawala kwenye uchaguzi mkuu? Hebu nielewesha aliisaidiaje nchi,ama kusaidia kukirejesha chama kwenye hatamu ndo kusaidia nchi kwenyewe?.Role ya Ruge kusaidia Nchi Kwenye Uchaguzi Mkuu 2010 na 2015 Ni kubwa kubwa kubwa Kuliko ya Pole pole, Bashiru, Makonda ambao wamekuta Chombo kimeshatia Nanga Pwani hawajui dhoruba wala Vimbunga ilivyokumbana navyo Kwenye 'Red sea'
Rugemalila ndio jina lake kamili, alizoea kujiita Ruge kama kifupisho.Anaitwa Ruge,siyo Rugemalila.