Jibu swali we gamba ??Kongo sio kongowe
Ungeuliza funeral home Gani yupo ? Unafikiri mtu akifa nchi kama hizo maiti lazima huwa hospitali mortuary kama Tanzania!!!! Mtu uko Tanzania unajitia uko Africa kusini hivi mikoa ya kusini ni Africa ya kusini?
Hahahahahaha, We Jamaa hopeless sana!!!Kongo sio kongowe
Ungeuliza funeral home Gani yupo ? Unafikiri mtu akifa nchi kama hizo maiti lazima huwa hospitali mortuary kama Tanzania!!!! Mtu uko Tanzania unajitia uko Africa kusini hivi mikoa ya kusini ni Africa ya kusini?
Wameshaaga toka Jana mkuu , umechelewajamani Ruge amefia hospitali gani Afrika Kusini tuliopo huku tukamuage??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada ameuliza amefia hospitali gani na wamempeleka funeral hone gani?Wameshaaga toka Jana mkuu , umechelewa
Sent from my Iphone using Tapatalk
Alitaka kwenda kuaga au hujamsomaMleta mada ameuliza amefia hospitali gani na wamempeleka funeral hone gani?
Hahahahahha aisee mstari wa mwisho hahahahaKongo sio kongowe
Ungeuliza funeral home Gani yupo ? Unafikiri mtu akifa nchi kama hizo maiti lazima huwa hospitali mortuary kama Tanzania!!!! Mtu uko Tanzania unajitia uko Africa kusini hivi mikoa ya kusini ni Africa ya kusini?
Mkuu taja tu hosptali gani labda jamaa anataka kwenda kuhakiki ile gharama ya matibabu.Kongo sio kongowe
Ungeuliza funeral home Gani yupo ? Unafikiri mtu akifa nchi kama hizo maiti lazima huwa hospitali mortuary kama Tanzania!!!! Mtu uko Tanzania unajitia uko Africa kusini hivi mikoa ya kusini ni Africa ya kusini?
hahaaaaaaa huyu atakuwa nachingweaKongo sio kongowe
Ungeuliza funeral home Gani yupo ? Unafikiri mtu akifa nchi kama hizo maiti lazima huwa hospitali mortuary kama Tanzania!!!! Mtu uko Tanzania unajitia uko Africa kusini hivi mikoa ya kusini ni Africa ya kusini?
huu msiba mzito.. ila report ya marehemu inaficha ficha vitu vingi.
tulichangishwa bila kutajiwa jina la hospitali..
jamaa kauliza jina la hospitali? hakuna majibu