Zamaradi hakuwa mke wala mchumba kwa Ruge.mfuatilie zamaradi mketema nadhani kama hakuwa mke rasmi basi ni mchumba wake ambaye aliolewa na mwingine
kimada mpaka wanazalishanaaaa
Kwani kuzalishana nini ?kimada mpaka wanazalishanaaaa
ndio kipimo cha kutikiska?Nchi imetikisika nenda mwenge uone foleni ya ajabu kisa mwili unapotea
Magazeti yote yamejaa Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye hela hua hatafuti.wanawake,wanawake ndio humfuataSio kila mtu ana umasikini wa hela kama wewe. Wengine tunatafta wanawake.
Mwenge ndio imekuwa nchi siku hizi ? Tuliza mawenge mdogo wanguNchi imetikisika nenda mwenge uone foleni ya ajabu kisa mwili unapotea
Magazeti yote yamejaa Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi unataka nchi itikisike vipi,? kila mkoa wanafuatilia , kila kiongozi na kila kiongozi mkuu unayewajibika kwake kafika, kila kiongozi wa ngazi yeyote kafika, mbaya zaid hata mgombea wako wa urais mwaka 2015 kafika cc instanbulndio kipimo cha kutikiska?
Makonda pia anaongoza msafara wa marehemu kwenda Lugalo hospital muda huu jiijini Dar.Si unajua papara na pupa za mkuu? Nasikia na ndege ya kwenda huko nayo katoa. Inafikirisha.
Umbeya tuu umekujaaa huna loloteShoga nkupe umbea Zama naskia kalia mpk kugaragara sebuleni huko msibani[emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]nimechekaaa Mimi acha kabisaa!nkasema kaah!unaafiki hautuishi wabongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Awe makini asizomewe.Makonda pia anaongoza msafara wa marehemu kwenda Lugalo hospital muda huu jiijini Dar.
kwa sasa hakuwa na mke maana mke wake aliolewa na mwanaume mwingine , japo ana watotot watatu
Hakuwahi oa alikua anaishi na ZamaradiMke wake aliolewa na mwanaume mwingine ?
ni kweli hayo unayo yasema ?
Kwani Ruge alishawahi kuoa ktk maisha yake ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakaa...achana nae kuna watu sana roho mbaya tuuNchi imetikisika nenda mwenge uone foleni ya ajabu kisa mwili unapotea
Magazeti yote yamejaa Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mwanamke umbea babu weeee!!!!Umbeya tuu umekujaaa huna lolote