TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

51699236_406053510170292_5183239621063271174_n.jpg
 
Kuna watu wanadhani hekima anazozizungumza mjomba kwenye mashairi yake, basi hata kwenye maisha nje ya sanaa ndivyo alivyo, mnabet wandugu.
Kaja rais mstaafu na mkewe, waziri mkuu mstaafu na mkewe, naibu spika, rcz na dcz, dedz, wabunge na mawaziri, ceo's mbalimbali, wasanii kibao, mediaz rundo ziko msibani. Hao watajisikiaje kuona uwepo wao haujakuwa kamilifu mpaka aje fulani.
Acha zako mjomba, akija ndio iweje halafu, ungemtumia meseji au kumpigia simu ungepungua nini?
Hill li mjomba halinaga akili kabisa
 
Ruge Mutahaba ndio Muhaya maarufu zaid Ulimwenguni lakin tofauti Na watani zangu hao, hakuwa Mr Misifa

Ruge asingekuwa firm, Basi Makonda angegeuza Clouds Ni kipaza sauti chake

Sasa hivi atakuwa Na Mipaka lakin asingedhibitiwa Na Ruge Pengine tungekuwa Na Paul Makonda Hour Kama Hamza Kasongo hour Kule Channel ten
Mhaya maarufu duniani aliyewahi kutokea ni kardinali WA Kwanza mweusi duniani kuwahi kutokea ambaye aliishangaza dunia kufikia cheo hicho.Huyu kardinali anaitwa Lauren Rugambwa

Pia wahaya wengine maarufu ni sir George kahama ambaye alipewa usir na Queen Elizabeth WA uingereza na hakuna mtz mwenye cheo kama hicho

Muhaya mwingine maarufu ulimwenguni ni Justinian Rweye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhaya maarufu duniani aliyewahi kutokea ni kardinali WA Kwanza mweusi duniani kuwahi kutokea ambaye aliishangaza dunia kufikia cheo hicho.Huyu kardinali anaitwa Lauren Rugambwa

Pia wahaya wengine maarufu ni sir George kahama ambaye alipewa usir na Queen Elizabeth WA uingereza na hakuna mtz mwenye cheo kama hicho

Muhaya mwingine maarufu ulimwenguni ni Justinian Rweye

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wale ambao wapo mahabusu?
Malinzi na Rugemalila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
elimu ya dini hiyo mkuu kwani dini yako inasemaje mtu akifa nini huendelea kuanzia kaburini hadi ufufuo
Mi sina dini. Naamini ukishadedi biashara imeisha. Nipe basi elimu ya dini yako kuhusu adhabu ya kaburi naweza kushawishika nikajiunga...
 
Hv ni technology au kukosa maarifa..?

Watu wanatumia msiba kupata followers na likes tu..!
Deep inside hakuna uchungu wala chochote wanachofeel kweny msiba wa ruge..!

You tubers wametaradadi na maswali yale yale yasiyo kuwa na chembe ya unprofessional wa habari masawali yao ni "unazungumziaje diamond hajaja kwenye msiba "? Watu wanajiuliz mbona umechelewa kupost.???

Kwanini tuhukumiane kweny msiba..?
Wanaosema diamond ana roho mbaya hapost je wao watapost nin akifa akat sas hv wanamchukia..??

nimeshangaa mrisho mpoto nae et anamuhimiza diamond aende kweny msiba, I'm like seriously..?

Wanajua diamond anawaza nini sas hv.. What if alikuwa anapanga aende BUKOBA..? what if alikuw anataka aende kupokea kesho airport..?

And by the way who's diamond mpka watu waoneshwe kukerw kwanini hapost..? Au kwann haendi msibani.. Mbna jide hashambuliwi..?

Kinachotakiwa hapa ni KUMUOMBEA NDUGU YETU RUGEMARILA apumzike kwa amani... We both have struggles in life like who are you to judge???

Binafs sipendi drama za misibani.. mtu azikwe ndo mambo mengine yaendelee na huo ndo utanzania..!


Maya your soul rest in peace.. RUGE MUTAHABA.. You will always be remembered.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuna watu wanalia ki uwongo kabsa yan ili wapate kik kwamba nao wamooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtutue banaaaa. Mnatusakama sana.

Sio sifa. Tunajiamin. Hutaki unaach

Kutojiamin kwenu kunawafanya mtuone tuna misifa, tunaringa.

Hivi nikiringa au nikiwa na misifa nakupunguzia nini?.

Kama wahaya wanaringa- waganda, wanyaru, wanigeria wanafanyeje?.
Umemjibu vizuri

Kuna watu wakisikia kabila la wahaya wanaumwa na kuteseka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuseme.kweli hakuna kijana alokuwa anawasaidia wenzake kama Ruge,

Akina diamond muda huu wanajifanya hawakupata mchango wowote kwake lakin Mungu ndo anajua
Achana nao wachafu waliojua Kuoga kupitia Ruge.. Acha tumhifadhi mpendwa wetu Maisha yaendelee.

R. Ï. P Ruge
 
Mie simsaidii msanii ila nanunua kazi zao na kulipia kiingilio maonyesho yao. Hivi unadhani mtu mwenye kipaji anasaidiwa au watu wanagawana nae mapato ya kipaji chake? jibu ilo kwanza
Kama unajiweza kwa nini ugawane na Mtu.. Kula peke yako.

Majivuno ya kishamba sana
 
Lady Jaydee aliwaambia kama bila wao asingekua msanii mkubwa wawachukue dada zao waimbe nao wawe maarufu

Sent using Jamii Forums mobilapp
Jay dee aliongea akiwa ameshatoboa ndio akasema..
Yote kwa Yote" haiondoi kazi waliyofanya na wanayoendelea kuifanya Clous Media kwenye Muziki wa Tanzania.
 
Kama mnavyojua Ruge Mutahaba ni mtoto wa Profesa Mutahaba wa Bukoba Vijijini, Tarafa ya Kiamutwara, Kata Karabagaine ,Kijiji Kabale, Kitongoji Kiziru -Muzira mbogo, Muhabarishaji yuko huko anatutumia updates moja kwa moja tunaweka hapa

Kwa wanaokaa maeneo ya Bukoba,
Eelekeo wa mazishi yatakapofanyika nyumbani kwao Mutahaba kama watokea mjini, Ni Barabara ya kibeta kama waelekea Muleba, ukifika Magoti Km 3 kutoka Bukoba mjini utakutana na Kibao cha Gereza Rwamulumba, unapita Itahwa, Karabagaine ndo unafika kabale/kiziru kwa mzee Mutahaba, ni km 8 kutoka bukoba mjini,

Wadau mbali mbali wa maeneo yanayopakana na mazishi yatakapofanyika wameshaanza kukusanyika wakitokea
Nsisha, Kangabushro, Itahwa, Magoti,Kitwe, Katoma,Itahwa na Rwamulumba ,

Maoni ya watu waliowengi wanasema kwamba ni kweli jamaa alikuwa maarufu ila hawakujua kama ni wa maeneo hayo, kwasababu ukilinganisha jina lake na maendeleo ya eneo lile ni kama vile hakutenda haki, japokuwa wanasahau kwamba Ruge alikuwa ni mtu wa masuala ya burudani tu na mtu mmoja hawei kuleta maendeleo ya wilaya nzima isipokuwa wa kulaumiwa kama kuna ishu ya kulaumu ni Mzee Mutahaba mwenyewe na maprofesa wanaomzunguka,

Kwa haraha haraka pale kuna maprofesa si chini ya wanne, kuna mabalozi waliowahi kuwa mabalozi na walioko ubalozini kama mabalozi sasa si chini ya watano,

Kuna watu wengi sana ambao kwa pamoja wangeweza kushirikiana kuleta kinachostahili,

kwa Bahati mbaya aliyesema hivyo ni kwa mshtuko wa kuona kumbe mtoto wa Mutahaba ni maarufu vile lakin kwa haraka haraka maendeleo wanayo japokuwa binadamu huwa hawaridhiki na kuna slogan imeshajengeka kwamba wahaya wanajenga kwingine siyo kwao,,

SALAAMU ZA RAMBI RAMBI TOKA KWA MKUU WA MKOA WA KAGERA KWENDA KWA FAMILIA YA MUTAHABA

View attachment 1034970

Maandalizi ya Nyumba ya Milele ya Marehemu Ruge Mutahaba

View attachment 1034972



View attachment 1034974


TAIFA LIMEPOTEZA MOJAWAPO YA VIJANA WAPAMBANAJI

UPDATES

HABARI: Msemaji wa familia ya Mutahaba, Kashasha amesema Rais John Magufuli ametoa ndege kwa ajili ya kusafirisha mwili wa Ruge Mutahaba na waombolezaji siku ya Jumapili kwenda Bukoba atapozikwa-MCL

MKUU WA MKOA AWASILI MSIBANI NA KUKUTANA NA KAMATI YA MSIBA

View attachment 1035142

Hapo Ni Mmiliki wa Shule ya Josiah Grils Bwana Ruga Masabala akisalimiana na Afande alifika Msibani

View attachment 1035143
Mwonekano wa Juu wa Nyumbani kijijini kwa Ruge Mutahaba
View attachment 1035144View attachment 1035144
Samahani naitaji kujuzwa marehemu alikuwa na familia??i mean mke na watoto!??[emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom