Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishagegedwa Sana na hayo majamaa Dada sinyorita waume zako wanaanza kupotea #tafuta pa kwenda [emoji23][emoji23]
Ulishagegedwa Sana na hayo majamaa Dada sinyorita waume zako wanaanza kupotea #tafuta pa kwenda [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimejifunza
1. Maisha ya duniani mafupi sana
2. Ukifa huna thamani tena
3. Kuwekeana mabifu ni kitu kibaya sana, jitahidi sana uwe peace na watu
4. Hela si kitu, ingawa ni lazima uwe nazo, usiondoe utu wa wenzako sababu ya pesa
5. Dunia ina watu wanafiki sana, mbunge anapigwa risasi viongozi wa juu hawatoi msaada, lakini wengine wanakufa watu wanatoa ndege, marehemu na alie hai nani ana thamani=UNAFIKI......... Infact ukifuata hoja namba 1-4, hotokua kama namba 5.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachawi wanafiki ndiyo wanajifanya kuguswa sana na msibaMi nimejifunza
1. Maisha ya duniani mafupi sana
2. Ukifa huna thamani tena
3. Kuwekeana mabifu ni kitu kibaya sana, jitahidi sana uwe peace na watu
4. Hela si kitu, ingawa ni lazima uwe nazo, usiondoe utu wa wenzako sababu ya pesa
5. Dunia ina watu wanafiki sana, mbunge anapigwa risasi viongozi wa juu hawatoi msaada, lakini wengine wanakufa watu wanatoa ndege, marehemu na alie hai nani ana thamani=UNAFIKI......... Infact ukifuata hoja namba 1-4, hotokua kama namba 5.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi hata kuvaa viatu vya huyu baba jamaniHakuna Uchungu Makali kama kuzika Mwana, ndugu zangu kusikieni tu, Baba ameshindwa kuvumilia Kabisa, imebidi
Akitoe kilicho moyoni kwa Machozi maana hayasemeki mbele za watu Machungu hayo
Pole sana Prof Mutahaba, pole sana Baba mzazi wa Marehemu.
Picha hii imenitia Uchungu sana.
View attachment 1033389
Mhhhh nikifikiria idadi ya chupi alizowavua wasichana pale clouds walah napata uchunguLakin tumuombee alale pema