Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hata kwenye comments insta. Anataka Asifiwe tuuu. Hata kama hajapendeza
Hakuna mkamilifu dear[emoji16][emoji16]sitoi madongo!Dah ila marehemu ktk siasa na mahusiano ....mimi km mimi hanivutii
Nilichompendea ni ile tabia yake ya ukarimu wa kupeana michongo usingesikia jina usingejua km ni muhaya hapo tu ndipo alinifurahisha moyo wangu
Na wewe usianze kutoa madongo basi
Sent using Jamii Forums mobile app
JPM.nani asietaka attention katika nchi hii??
Dah ila marehemu ktk siasa na mahusiano ....mimi km mimi hanivutii
Nilichompendea ni ile tabia yake ya ukarimu wa kupeana michongo usingesikia jina usingejua km ni muhaya hapo tu ndipo alinifurahisha moyo wangu
Na wewe usianze kutoa madongo basi
Sent using Jamii Forums mobile app
πππtunarudi kule kule.ukiwa na hela bwana ndo tabia yako halis inaonekanaHakuna mkamilifu dear[emoji16][emoji16]sitoi madongo!
Najua pale clouds kawala wadada kama wote,Mwasiti alipangiwa mpk nyumba mtu nisie na uhakika nae ni Loveness tu ila wengine hawa balaaa!kafunua sketi kama zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya bwana kina said mwandindiMkuu wanyalukolo na wabena ni watu majasiri sana na ndiyo maana wana mtu wao mwana mtwa Mkwawa aliyewasambaratisha kabisa Wajerumani miaka ile! Kama Barnaba ni wa mikoa hiyo basi labda ni asili tu. Atakua amezaliwa na kukulia Dar huyu.Hana budi kujikaza aisee hata kama ameguswa kiasi gani.
ina maana suti umeona kavaa yeye tu peke yake? aisee mtoto wa watu kawakosea nini nyie wadada wa Daslama?
Kapeace ehh mie bado siwez hukum upande wa siasa au mapenzi..kila mtu ana choice yake.hahahhaa niajua itakuwa vigumu kuamini..hv ww unapewa M kadhaa ufanikishe mission fulan hutafanya??yule alikua mfanyabiashara my dear..lazima iwe hvyoo..
tukija kwenye mapenzi .nahis hakupata chaguo zuri..!umesahau wanaume wakiwa wana hela ht wanawake wanataka kuonja kila sehem..!hyo ni kawaida
Hao wazee WA Dsm mkuu, umemsahau Mzee Sykes , hao ndio wapigania Uhuru wenyeweJumbe Tambaza, Mshume Kiyate, John Rupia, Mzee Takadir, Dossa Aziz nk. Watu muhimu kuwahi kutokea Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameifanyia kitu gani Tanzania? Maana angalau tunajua aliyoyafanya Nyerere vipi kuhusu Ruge?Huyu Ruge,ukweli ndio mtu wa pili muhimu zaidi kuwahi kupotea baada ya Nyerere.
Kama unabisha taja wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hadhihakiwi.RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.
Source Clouds tv!
Comment nzuri mi nimeonyesha tu kuwa nae alikuwa binadamu mwenye mapungufu yake simuhukumu saaana hasa katika mapenzi........wanaume tunawajua vizuri sana
Mazuri yake yanafunika mabaya yake hivyo tu dada
Sent using Jamii Forums mobile app