MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Yeah it is not personal, it was business, thanks Diamond kwa kuelewa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Chibu kachana mikeka ya watu wa instagram.
Kama zimefungiwa clouds si zikapigwe hata radio one, kwani lazima iwe clouds tu.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ruge amekuzwa na media baada ya kifo mbona akiwa hai hakuwa muhimu kiasi hicho. Anafahamika Dar na Kagera tu.Yaaan nyie sijui mlikuwa mnabokolewa na huyo Ruge, hivi wewe unaweza ukamlinganisha Nyerere na huyo mpenda chini? Uache kuwataja akina Sokoine na wengine wa Caliber hizo wewe umtaje mpenda beef za kitoto huyo?
mashabiki ndo wanamfanya awe hvyo..si unaikumbuka ile blog yake wakat ule yaan waja wanamsifu tu ..khaa!ohh una busara sana😂😂..mie nnamwelewa sana gea habibu..hafae .sipend jitu linalojifekishaMi namuonaga ana nyodo aisee. Halafu anaile kujikubaliiiiiiiii hata penye hamna. Nami natamanigi niwe najikubali hivo😁
😂😂😂😂😂manina sana ww aisee khaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi pia nilijua wa kike aisee mwache bwana ndio hobby yake
Sent using Jamii Forums mobile app
U stupid wake uko wapi? Unaijua nafasi ya Rais kwa taifa wewe?Wewe ulitaka hiyo hiyo saa kumi upewe taarifa. Very stupid
Jumbe Tambaza, Mshume Kiyate, John Rupia, Mzee Takadir, Dossa Aziz nk. Watu muhimu kuwahi kutokea TanzaniaNaona mnawatukana akina Sokoine,Kawawa,Bibi Titi,Mzee Sykse (Wazao la kupigania uhuru wa Tz lilianza kwake),Amani Karume.Kweli ni mmoja ya watu muhimu lakini si ktk position hiyo.
"tena yule 3yrs ago atakua chapombe" ..hakika umbea ukizidi ni hatari kwa akili😀😀😀
Urais ni taasisi, Ruge alikuwa karibu na Magufuli ila hakuwa karibu na Rais Magufuli kwa point hiyo, Rais Magufuli hakutakiwa kutangazaKumbuka rais alikuwa karibu sana na Ruge kwa hiyo ni lazima waangalizi wa mgonjwa wampe taarafa directly.....
Sio jambo la kuhoji.
Kozomewa???Shost...Domo kaja sasa hivi karimjee msibani, kazomewaje[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa akisoma hapa si atajua ni wewe😂😂😂😂😂,shauri yako akakushtakinope nope!..tena yule 3yrs ago atakuwa chapombe..anakunywa kwa kujificha..akafu anapenda kuita hom mashost wananywea pale kwake..sema hapa mdada wa kazi ndo namharibiaaa😂😂😂💪..dina had nyagi anagoga😂😂...!uwii kama namuona dadangu anapgwa marufuku mengine kutimba mle ndani😂😂😂..watajijuuuu