TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Mkuu wanyalukolo na wabena ni watu majasiri sana na ndiyo maana wana mtu wao mwana mtwa Mkwawa aliyewasambaratisha kabisa Wajerumani miaka ile! Kama Barnaba ni wa mikoa hiyo basi labda ni asili tu. Atakua amezaliwa na kukulia Dar huyu.Hana budi kujikaza aisee hata kama ameguswa kiasi gani.
Mkwawa nae si alijiua akikimbia wajerumani?
 
Naona mnawatukana akina Sokoine,Kawawa,Bibi Titi,Mzee Sykse (Wazao la kupigania uhuru wa Tz lilianza kwake),Amani Karume.Kweli ni mmoja ya watu muhimu lakini si ktk position hiyo.
 
zamani sana..ila shost ana nyodo.. ana zile za kukuangalia anakupandishq na kukushusha😂😂nashangaa public hiv anaonekana mtu wa watu ila home kwake ananyodo jaman huyu dada...!ngoja nisiongee sana
Mi namuonaga ana nyodo aisee. Halafu anaile kujikubaliiiiiiiii hata penye hamna. Nami natamanigi niwe najikubali hivo😁
 
Back
Top Bottom