kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkwawa nae si alijiua akikimbia wajerumani?Mkuu wanyalukolo na wabena ni watu majasiri sana na ndiyo maana wana mtu wao mwana mtwa Mkwawa aliyewasambaratisha kabisa Wajerumani miaka ile! Kama Barnaba ni wa mikoa hiyo basi labda ni asili tu. Atakua amezaliwa na kukulia Dar huyu.Hana budi kujikaza aisee hata kama ameguswa kiasi gani.
sasa shida iko wapi mzee si kahudhuria kama alivyohudhuria wengineJana nilitoa taarifa kwamba Diamond leo atahudhuria shughuli nzima ya kumuaga ruge,bahati mbaya mods wameutoa ule uzi.finally Simba is in da house,wanakosa cha kusema sasa hivi wanakuja na uzushi eti kazomewa hahahaView attachment 1035976View attachment 1035977
Ujajibu swali wewe bwabwa
Ukute alikua mtumishi wauma sema low profile the system is so complicatedSi Ruge alikuwa kibaraka mkubwa wa watawala wa mkono wa chuma? Puppet mkubwa wa ccm, hadi walipomgeuka kwa kumtumia Bashite.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusaga hana chechote palee!!Mi ningemshangaa kusaga wasingerusha
Kusaga anayoinfluence wasafi,sioni sababu ya kumlaumi diamond na kumuacha kusaga
Mi namuonaga ana nyodo aisee. Halafu anaile kujikubaliiiiiiiii hata penye hamna. Nami natamanigi niwe najikubali hivo😁zamani sana..ila shost ana nyodo.. ana zile za kukuangalia anakupandishq na kukushusha😂😂nashangaa public hiv anaonekana mtu wa watu ila home kwake ananyodo jaman huyu dada...!ngoja nisiongee sana
HahahahaI think he stole the show!
Bahati mbaya sana mpoto atasema yeye ndio alimwambia.
Eheee! jamani anavaa nin?i. lkn si alisha msamehe we unayaanzisha tena hayo yalisha pita.Malyamungu princess bashite.
Kwahiyo kumpapatikia mwanaume mwenzako wewe unaona si jambo ambalo ninastahili kuhoji? Usini-limit please.kama ulikuwa huna hoja ya kusema mkuu kuhusu mada husika ya mdau, ili kuwa sio lazima kukomenti
Mkwawa nae si alijiua akikimbia wajerumani?
Hahahahah...umemmalizaSio kila mtu ana umasikini wa hela kama wewe. Wengine tunatafta wanawake.