Vitabu vimeandikwa ili visomwe. na hapo katika kusoma hujalazimishwa uyafuate ya vitabuni hakuna kitabu kama hicho, hapa sasa una elimishwa tena bure. hutaki sasa tukupe nini? BOb marley?...akili ya ku-quote changanya na yako. since of all human being minds are too complicated more than you can even imagine. perhaps than any beasts you have ever come across with... the way i think on your side are not complicated......Usilazimishe mambo ya kusoma vitabuni.
Kuna baadhi ya kabila wabantu ukiona maiti ya mtu aliepata ajali unatakiwa uoge dawa sababu mila yao inasema hivyo.
Lakini kuna wabantu wengine wengi hawana mila hiyo wanasaidia kwenye ajali na kuzika marehemu bila shida na hakuna wanao dhurika.
"Life is one big road with lots of signs. So when you riding through the ruts, don't complicate your mind" By Bob Marley.
Sana...tunategemea sasa hivi watakuwa mamilioneaApumzike panapostahili...!ni muda mwafaka sasa wasanii kuonekan BET
Hakuna mkamilifu dear[emoji16][emoji16]sitoi madongo!
Najua pale clouds kawala wadada kama wote,Mwasiti alipangiwa mpk nyumba mtu nisie na uhakika nae ni Loveness tu ila wengine hawa balaaa!kafunua sketi kama zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mene Mimi na wewe tupoo!hicho kitu hakipoo!!kariri maneno yangu! Ruge ameondoka na legacy yake!kwa kizazi hiki tushapoteza hapo tusubirie watoto wetu watapata Ruge mwingine!!!Apumzike panapostahili...!ni muda mwafaka sasa wasanii kuonekan BET
Unajuaje labda amepokea na kutekeleza wito wa huyo mtembea peku ndio maana amefika msibani!?Hakika diamond ni kipenzi cha watu.
Katika msiba huu wa Ruge wamejitokeza watu mbalimbali , lakini alipokuja rais Nasibu Abdul hali ya hewa imebadilika kwa kiasi kikubwa sana kila mmoja anamshangilia diamond kwa kuimba Simba! Simba! Simba! yani mpaka wamesahau kumlilia Ruge wao.
Wale vimbelembele wote aibu imewapata akiwemo yule mtu mzima hovyo anayetembea pekupeku kama chizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kumtenga
Haya bwana kina said mwandindi
πππMungu atupe Ruge mwingine jamanMene Mimi na wewe tupoo!hicho kitu hakipoo!!kariri maneno yangu! Ruge ameondoka na legacy yake!kwa kizazi hiki tushapoteza hapo tusubirie watoto wetu watapata Ruge mwingine!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
πWenyeji wa mkoa wa iringa, njombe ni watu ndembendembe ndio maana wao kujiua ni kitu kawaida.
we na nani?πππMungu atupe Ruge mwingine jaman