johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uwe unaelewa wewe..... Neno hutoka kwa Roho wa Mungu!Na hayo aliyosema nini....hayajatoka kwa Mungu.
Shetani huwa haoni aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unaelewa wewe..... Neno hutoka kwa Roho wa Mungu!Na hayo aliyosema nini....hayajatoka kwa Mungu.
Shetani huwa haoni aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejisikia vibaya hii post yangu kuikuta kwenye huu uzi yaani nilipost kwengine naona nyuzi zikaunganishwa...... mzima bby?Mmmnh
Wameunganisha nyuziNimejisikia vibaya hii post yangu kuikuta kwenye huu uzi yaani nilipost kwengine naona nyuzi zikaunganishwa...... mzima bby?
Duh!mbwa mama mzazi wako
we nae kwenda zako alivyoanza nitukana mie hujaona umeona langu tu..mxiewwwwwDuh!
Nimefanyaje kwani?we nae kwenda zako alivyoanza nitukana mie hujaona umeona langu tu..mxiewwwww
we nae kwenda zako alivyoanza nitukana mie hujaona umeona langu tu..mxiewwwww
Kwa nini ibambe ikishikwa na clouds hapo ndo unarudi Kwa Ruge tena ukimsifiaMbona huyu jamaa mnampa shavu sn baada ya kufa?? Mlikuwa wapi kumpa sifa hz kabla hajafa?? Na yy ni marehemu kma marehemu wengine. Kufahamiana na wanasiasa, sio sababu ya yeye kuonekana kama Nyerere.
Ukiwa makini, utaona hao inaosemekana amewanyanyua kifursa (wanamuziki) hawajasikika sana kama wanasiasa katika kumuongelea msibani. Waliosikika ni wanasiasa na wafanyakazi wenzake.
Event ikishikwa na Clouds FM, lazima itabamba tu, iwe msiba, harusi, birthday, kipaimara etc. Watairusha mpk basi...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
utajua ww..ungeanza kwanza kumshangaa aloniambia mie mbwa kisa mie nimesema "Mungu atupe ruge mwingine"alaaNimefanyaje kwani?
Kabisa mkuuKwa nini ibambe ikishikwa na clouds hapo ndo unarudi Kwa Ruge tena ukimsifia
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi tu nakuona unapitia updatesWameunganisha nyuzi
Niko poa love za kwako?
Una uhakika na unayoyasema?Nadhan huyu ndio alimpata akiwa anaishi UDSM Mlimani pale alizaa na mtoto wa quarters mwenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza utani mtu WA mara.vijiji vya musoma haviwezi fikia hata robo ya vijiji vya wahaya .na Hilo eneo la kabale halina migheto kiviile tembelea kamachumu, nshamba,mugana,kanyigo na nkHuo ni utitiri wa vibanda vibanda. siyo nyumba hata kidogo, nenda kajionee Ma-estate, Modern villa ya kufa mtu Musoma vijijini.kuanzia Mugango mpaka Bwai kwitururu, chitafubhu.Butiama na Tarime... kiribo. makamanda wamejenga huko hatari Moshi nini bana! Kiribho ni mlima huu ndani ya East African's lift valley down yake yake kuna ever green grass land, mashamba na majumba hatari kama hii hapa..... hapo Wahaya siwasemi vibaya ila mnaboa sana.
lakini watu wa huko hawana majigambo jamani khaa! nawapenda bure.
I never asked anything from you.hutaki sasa tukupe nini?
Mshenzi namba moja na mnafiki namba moja na mmwagaji damu namba moja.RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.
Source Clouds tv!
Sio ukaribu sema hawara wa marehemu sababu kama sikosei dec 2017 Nandy na jamaa walienda holiday serengeti na Ngorongoro baada ya hapo Nandy akatoka sasaNandy hana mtoto labda ukaribu tu na Marehemu