TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Na anavyojitapa eti kaajiri wadada wawili wa kazi mmoja wa kulea mtoto mwingine wa kupika. Hataki mwanae apate shida. Maisha haya. Huyu na zama walikutana wote wale wale mshindi akaibuka zama

its true..mwanaye kadeka sijapata ona..kwake anasema wageni wanaingia wanachafua mazingira na wanaomba sana maua😂😂alinipa hasira nikasema huyu anaringa kumbe kisa maua😂😂aje moro aone nina varieties ngap za maua..😏😏😏
 
[emoji40][emoji40][emoji40]Alimwambiaga dada wa kazi wake h
tht hapendi wageni...nlikua nabisha hodi watoto wamerusha mpira ukaing8a getini kwake..yaan unawaona hao hapo wapo nje..dada akaja akasema dada amesema hatak wagenii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...nikamwambia dogo kuwa makini[emoji23][emoji23]leta huo mpira fast..!waliniudhi...since then mie sijawah barikiwa kbs naye..sisy angu anajibamizaga kwakwe na ishu za maua unaona kbs huyu namkera ht kumsalimu[emoji23][emoji23][emoji23].am not her fan anymore!
Anajiona superstar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi hukumu tunazozitoa bana ngumu kutenda

Just imagine simpendi tununu balaa

Nasengenya watu humu kwa sana

Sijui kesho yangu na huo msamaha sina mpango wa kuuomba. Hata ikitokea nikaumwa hoi sidhan kama nitakua na wazo hilo
Kama hakuomba mwenyewe alivyokuwa hai ni bure tu..

Ila kusamehe ni sadaka ..

Cheo kikubwa sana hicho ... mwenye uwezo wa kufufua ni mmoja tu!

Yashapita hayo...inabaki historia..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa naona kule mtandaon mtoto anacheza mpira hata sebuleni hakatazwi na hela ipo hata akivunja kideo kisa tu mama mtu alimpata kwa shida na kisu juu(upasuaji)

Heee mchoyo hivyo kisa maua tena nyumba ya kupanga aiseee.
its true..mwanaye kadeka sijapata ona..kwake anasema wageni wanaingia wanachafua mazingira na wanaomba sana maua😂😂alinipa hasira nikasema huyu anaringa kumbe kisa maua😂😂aje moro aone nina varieties ngap za maua..😏😏😏
 
Na anavyojitapa eti kaajiri wadada wawili wa kazi mmoja wa kulea mtoto mwingine wa kupika. Hataki mwanae apate shida. Maisha haya. Huyu na zama walikutana wote wale wale mshindi akaibuka zama


yes huyu na zama lao 1..ila nyie fans wa zam ndo mnampa kichwa naona anaandikaga sana insta bas nyie ktwa kumsifu ati ana busara😂😂😂bora mane nikitulia busara naziona hizoo..hamjamjua zama au ni vile age !ZAMA ANAFAKE SANA MAISHA YAKE..!huyu atakujaga umbuka kama Stara thomàs na lile skendo lake la fumanizi .!anywys tusihukumu
 
Sema siku hizi kuna dawa ukijikubali na kunywa dawa unaishi miaka mingi tu. Huoni mjane wa yule wa BOT kazaa. Yule Joan aliyekuwa mpenzi wa yule mhonga magari mekundu BOT. Nimemsahau jina. Umeme mtu akiukwaa,kujikubali,dawa masharti anaishi miaka hata 50.

Amatus Liyumba
 
Aaah mane unaniangusha basi kama hujui leo jua mie fans mkubwa wa ZARI na CR7 pekee. Huyo zama simfagiliii kabisa na hakuna staa wa bongo ninayeweza poteza muda wangu kumtetea
yes huyu na zama lao 1..ila nyie fans wa zam ndo mnampa kichwa naona anaandikaga sana insta bas nyie ktwa kumsifu ati ana busara😂😂😂bora mane nikitulia busara naziona hizoo..hamjamjua zama au ni vile age !ZAMA ANAFAKE SANA MAISHA YAKE..!huyu atakujaga umbuka kama Stara thomàs na lile skendo lake la fumanizi .!anywys tusihukumu
 
Kwani Wasafi nuonesha ndio issue mbona kawaida tu. CNN wanamchukia Trump lakini wanamuonesha akiwa Live mambo ya binafsi hayahusu biashara.
 
Clouds Media ni kama wanajitekenya na kucheka wenyewe.

Yani wanatumia nguvu kubwa sana kuutangaza msiba wa Ruge uonekane kama msiba wa kitaifa na kuudanganya uamini kwamba Ruge alikuwa kipenzi cha watu.

Wameona hiyo haitoshi wakaamua mpaka kuwalipa wasanii ili wamtungie wimbo Ruge ili kumsafisha.

CMG wakumbuke kwamba jasho la wanyonge haliendi bure bure ,yale yote aliyowafanyia wasanii ikiwemo kuwadhulumu haki zao za msingi lazima huko aendako ataulizwa na atalipa ubaya wote aliowafanyia watu.

Uungu mtu unaishia hapa hapa duniani, hata Farao kipindi anafariki alijutia yale maovu yote aliyokuwa anawafanyia watu na alitaka kutamka shahada ili Mungu amsamehe lakini Mungu alikataa shahada yake na mwili wake ulikataliwa na ardhi, kila wakimzika ardhi inamtema,wakajaribu kumchoma moto lakini wapi haikusaidia.

Kingine cha muhimu zaidi watoe mchanganuo wa pesa za matibabu ambazo Watanzania walichanga kwa ajili ya matibabu yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaah mane unaniangusha basi kama hujui leo jua mie fans mkubwa wa ZARI na CR7 pekee. Huyo zama simfagiliii kabisa na hakuna staa wa bongo ninayeweza poteza muda wangu kumtetea


😂😂😂💪💪💪💪💪hapo sawa..ht mie zari nammpenda very matured!...
 
Back
Top Bottom