Unknown error
Member
- Jan 1, 2019
- 50
- 122
😀😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana tuuu!pesa mwanaharamu[emoji23][emoji23][emoji23]tunarudi kule kule.ukiwa na hela bwana ndo tabia yako halis inaonekana
Mko sahihi!!!Comment nzuri mi nimeonyesha tu kuwa nae alikuwa binadamu mwenye mapungufu yake simuhukumu saaana hasa katika mapenzi........wanaume tunawajua vizuri sana
Mazuri yake yanafunika mabaya yake hivyo tu dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapeace ehh mie bado siwez hukum upande wa siasa au mapenzi..kila mtu ana choice yake.hahahhaa niajua itakuwa vigumu kuamini..hv ww unapewa M kadhaa ufanikishe mission fulan hutafanya??yule alikua mfanyabiashara my dear..lazima iwe hvyoo..
tukija kwenye mapenzi .nahis hakupata chaguo zuri..!umesahau wanaume wakiwa wana hela ht wanawake wanataka kuonja kila sehem..!hyo ni kawaida
Na hayo aliyosema nini....hayajatoka kwa Mungu.RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.
Source Clouds tv!
Yule kaudhulia kama watu wengine, hata asingeenda angezikwa kwa mamia ya watu. Ruge alikuwa mtu wa watu.
Jamaa kwenye msiba wa mama yake mzazi sikuona akiwa na simanzi kama niliyomuona nayo kwenye msiba huu.Nimemuona msanii Barnaba, hata kutembea hawezi! Nimeshangaa sana hasa kwa mtoto wa kiume kuwa ktk hali ile. Bila shaka ameguswa sana na huo msiba na hasa baada ya kuisikiliza hotuba yake ndani ya huo ukumbi wa Karimjee.
Ok vizuri
Apumzike panapostahili...!ni muda mwafaka sasa wasanii kuonekan BET