figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
hivi si kwamba alikuwa anatoa mfano kwamba wanaweza kuamua kwamba wasipige Bongo flava
ndo hivyo kashatoa maelekezo kama boss. nawe utasikia. mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi si kwamba alikuwa anatoa mfano kwamba wanaweza kuamua kwamba wasipige Bongo flava
Hahahaha RUGE kajipanga kweli,kaamua kumuonyesha JIDE anaweza kufanya chochote anachojisikia si REDIO BINAFSI bwana,leo ni mwendo wa GOSPO kwenda mbele,no BONGOFLEVA
Chezea wafu fm....na wameanza na kaji nyimbo ka skylyt..leo tena....hahhhah hawa jamaa noma
wameamua kupiga nyimbo za dini wameanza na rose muhando. wamesema leo bongo fleva no. hahahaaa...!!!. mia
Ametumia Radio yao kumshambulia Lady JD kumshambulia bila kujibu hoja! these to me is non sense!
wakati mwingine tutaacha kuwaamini watu wa aina yako
unaweza leta breaking newz tukaona kama ni fix au uongo
why nasema hivi wameanza na nyimbo ya hakuna Mungu kama wewe by kijitonyama choir mwimbaji ni Chidumule
sasa cjui radio yangu analog au znatofautiana!
Kuwa makin jembe! Sory ka nimekuboa lkn nikunyooshana/kuwekana ktk mstari!!
Mi nimemaliza kumsikiliza bosi ruge nikanza kucheka tu.
wakati mwingine tutaacha kuwaamini watu wa aina yako
unaweza leta breaking newz tukaona kama ni fix au uongo
why nasema hivi wameanza na nyimbo ya hakuna Mungu kama wewe by kijitonyama choir mwimbaji ni Chidumule
sasa cjui radio yangu analog au znatofautiana!
Kuwa makin jembe! Sory ka nimekuboa lkn nikunyooshana/kuwekana ktk mstari!!
Jamaa ni 'muhuni wa mjini' kweli ndo maana ile biashara kaimudu kwa mda mrefu na kwa mafanikii pamoja na challenges kibao anazokumbana nazo
Hatimaye anamalizia kwa msistizo kua LEO HAKUNA BONGO FLEVA,
msimamo wa ruge ni kua yuko tayari kwa mazungumzo
Hapa mwisho, mwisho kabisa kisha kibao cha Hakuna Mungu kama wewe kimepandishwa hewani
Kutoka hapa jf jukwaa la celebrits, pamoja nami Skype na wadau wengine tunasema hatuna la ziada, tunakurudisha makao makuu ya jf hadi wakati mwingine.
Adios.
asante sana nimependa ubunifu wako
Hatimaye anamalizia kwa msistizo kua LEO HAKUNA BONGO FLEVA,
msimamo wa ruge ni kua yuko tayari kwa mazungumzo
Hapa mwisho, mwisho kabisa kisha kibao cha Hakuna Mungu kama wewe kimepandishwa hewani
Kutoka hapa jf jukwaa la celebrits, pamoja nami Skype na wadau wengine tunasema hatuna la ziada, tunakurudisha makao makuu ya jf hadi wakati mwingine.
Adios.
na kutoka makao makuu ya nchi mawasiliano yanapokutana
gody fundi mitambo, mhariri na mfuatiliaji mazungumzo na kicm cha toch kuangalia nani anasema uongo!
Sina la ziada na logout!!