Mpiga Kelele kama kuna kitu chema unakubali. Kwa mfano hiyo programu yao ya 'Made in Tanzania' ni nzuri na ya kufikirisha ubongo. Fuatilia kwa makini. About 60 workers wataenda Dom,kuinaugurate hiyo programme. Alitoa mfano pale Sinza kuna saloon za nywele kibao. Akauliza kama kuna mtu ameshawahi kuwaza kufungua ofisi ya kutengeneza vifaa vya saloon vinapoharibika. Endelea tu kujihabarisha. Ni jambo jema.
Last edited by a moderator: