Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe eeh bas nilijua ni mwaka 2015Wale walianza zinguana miaka ya 2007 huko, kipindi hicho Jay De ana Machozi Band! Walitengana mwaka 2010 na baada ya hapo Jay De akaanza kutunga nyimbo za kebehi kwa ajiri ya Gardiner.... Kumbuka hata wanaume kama mabinti ni wimbo aliimbiwa Gardiner na kipindi hicho wote walikua pamoja!
Baada yakuachana sasa, ngoma zikaanza The ndindi,Mambo matano,Yahya! Na nyingine nyingi!
sasa kama gadner ana mama kareen kwa nini alihangaika na jide mpaka akaangukia pua kwenye mahusiano ya kindoa na kuishia kwenye mastress?Wale walianza zinguana miaka ya 2007 huko, kipindi hicho Jay De ana Machozi Band! Walitengana mwaka 2010 na baada ya hapo Jay De akaanza kutunga nyimbo za kebehi kwa ajiri ya Gardiner.... Kumbuka hata wanaume kama mabinti ni wimbo aliimbiwa Gardiner na kipindi hicho wote walikua pamoja!
Baada yakuachana sasa, ngoma zikaanza The ndindi,Mambo matano,Yahya! Na nyingine nyingi!
Congolooo yakere mwambaaaGadna peke yake kagusa 50 wengine hawajagusa
51 the highest,maisha mafupi sanaTUANZE NA MIAKA YAO TUJUE UMUHIMU WA NDOA
RUGE KAFA NA MIAKA ....
GARDNER...
EEKIBONDE......
A.CHIFUPA....
DJ NANIII.......
DUH AISEEEE CLOUDS WAMEUMIZWA SANAA JAMAN MPAKA WENGINE WANASEMA ATUJUI HATA ANAEFWATA HUMU NDAN UWIII..
na wote wamekufa na ngomaNimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.
Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.
Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy.
Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita.
Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.
Funzo tulilopata,hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.
Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.
Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.
Bila ndoa hutoboi 50
Gadna ndoa mbili zilimshinda,Ruge ndio boss wa team kataa ndoa,kibonde alifiwa ba mke hakutoboa mwaka,cha kujifunza ni kuwa ndoa ni muhimu sanaKwamba hao jamaa walikuwa kataa ndoa? Mbona ni kama vile wote walioa na kuishi na wake zao.
Team kataa ndoa ni porojo tu, wengi hawawezi luwa single hata mwezi mmoja.
Hiyo ndio hoja, ndoa ni muhimj sana japo hatulazimishwi kuoa. Kuishi single ni utumwa, unaweza pata ugonjwa wa sonona...Gadna ndoa mbili zilimshinda,Ruge ndio boss wa team kataa ndoa,kibonde alifiwa ba mke hakutoboa mwaka,cha kujifunza ni kuwa ndoa ni muhimu sana
TUANZE NA MIAKA YAO TUJUE UMUHIMU WA NDOA
RUGE KAFA NA MIAKA ....
GARDNER...
EEKIBONDE......
A.CHIFUPA....
DJ NANIII.......
DUH AISEEEE CLOUDS WAMEUMIZWA SANAA JAMAN MPAKA WENGINE WANASEMA ATUJUI HATA ANAEFWATA HUMU NDAN UWIII.. wanasambaziana Ngoma tu
hii haitoi fact yeye na mkewe wote walikufa kwa ngomaMnapendaga kujustify ujinga. Wote hao hawakuwa kataa ndoa; na katika wote hao hakuna mtu ambaye alii-honor ndoa yake kama Kibonde. Kibonde ambaye baada ya mkewe kufariki alishindwa kukaa kwenye nyumba yake mwenyewe; akawabeba na watoto wake wakahamia kwa wazazi wake sijui. Unaweza ukaimagine kuondoka kwa mkewe kulikuwa na effects gani kwake. Hata wengine walitabiri kuwa Kibonde hataishi muda mrefu kwa sababu alikuwa na very strong bond na marehemu mkewe; na kweli hakukaa sana, likatokea la kutokea. Wewe kataa tu ndoa kwa sababu zako binafsi
kuna watu wana miaka mingi ajabu hawana potential kwa jamii yao.Lengo ni kuishi miaka mingi au lengo ni kuacha Alama chanya Kama RUGE
Kuishi miaka mingi huku hauna tija ni kutokuishi pia.
Tatizo la Gardner nikupenda sana kitonga!sasa kama gadner ana mama kareen kwa nini alihangaika na jide mpaka akaangukia pua kwenye mahusiano ya kindoa na kuishia kwenye mastress?
Ni zamani kidogo! Sema G anapenda sana kitonga!Kumbe eeh bas nilijua ni mwaka 2015