Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.

Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.

Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy. Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita. Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.

Funzo tulilopata, hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.

Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.

Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.

Bila ndoa hutoboi 50
Furaha huonekana bila kulazimisha.Hawakuwa na furaha.
 
Sina maana hio ila currently kwa tafsiri yako hiyo lifestyle inaitwa anasa
Look>>Those who call it anasa they are living a very miserable life,, most of them unakuta anaishi uswahilini manzese chumba kimoja/chumba&seble, ana watoto wengi ambao hawez kuwahudumia (in terms of quality food, clothing, health care, education), they have a lot of debts, they cant afford to pay regular bills,

Kwa hyo wanaita anasa ili ku-fullfill the emptiness in their hearts!!
 
Na fact ni kwamba kifo ndiyo kilichowatenganisha as per their vows. Ndoa ilikuwa muhimu sana kwao hadi mauti. No kataa ndoa hapo
hakuna cha ajabu hapo dada Heaven..wote walikua wagonjwa,kaanza wa kwanza kwenda wa pili ni lazima afate right away

Hakuna sijui cha vows,sijui anampenda sana and other story za kufikirika.....mortality imewakuta kaanza mmoja huyu mwingine hatachukua round

Ndoa na blah blah zingine ni imaginary tu,hakuna anejua zaidi ya mioyo yao binafsi,na since ni ukimwi hakuna mwenye afadhali hapo per my guess
 
hakuna cha ajabu hapo dada Heaven..wote walikua wagonjwa,kaanza wa kwanza kwenda wa pili ni lazima afate right away

Hakuna sijui cha vows,sijui anampenda sana and other story za kufikirika.....mortality imewakuta kaanza mmoja huyu mwingine hatachukua round

Ndoa na blah blah zingine ni imaginary tu,hakuna anejua zaidi ya mioyo yao binafsi,na since ni ukimwi hakuna mwenye afadhali hapo per my guess
I know a lot of people ambao wanatumia "dozi" na wamefanikiwa kuishi miaka mingi tu. Na ukiwa muathirika haimaanishi kwamba ukifa tu basi ndiyo HIV imekuua.

Kwa umri wangu huu niliyofanikiwa kuishi; nimekuja kugundua kitu kimoja (majority cases). Baba anapata nguvu kwa mama/mkewe; na mke anapata nguvu kwa watoto wake. Kwa mume na mke ambao kweli wameshibana; akitangulia mke; mume anakuwa kwenye hali tete sana. Na mke/mama akifiwa hata na mtoto mmoja; anaweza akapotea mazima hata kama mume yupo na watoto wengine wapo pia.
 
Tatizo la Gardner nikupenda sana kitonga!

Mama Caren alikua na biashara zake nzuri tu za maduka ya nguo Mwanza,lakini baada ya yule Mother kushuka,Jamaa akampiga chini, akaenda kwa Jay Dee,na ndiyo huko kakutana na stress za maisha hadi akawa mlevi wakupindukia!
Nina kaka yangu, ni rafiki yake sana na Gardiner tumekaa sana na jamaa (G) Garder pale Tripple Seven Dsm,jamaa kwenye bills hakuwa na ushirikiano sana!
Samahani lakini; hivi Gardner alifanikiwa kufunga ndoa na mama Karen au walizaa tu mtoto?
 
Walizaa tu mtoto,ndiyo maana alifunga na Jay Dee, na baada ya ndoa na Jay De kufa,hakuweza tena kufunga ndoa,and now Jay De yuko huru kufunga ndoa sasa
Ooh nashukuru sana. Maana nilikuwa nahisi kama hawakufunga ndoa; sasa comments za waja zinadai ni kama walifunga
 
Back
Top Bottom