Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

Furaha huonekana bila kulazimisha.Hawakuwa na furaha.
 
Sina maana hio ila currently kwa tafsiri yako hiyo lifestyle inaitwa anasa
Look>>Those who call it anasa they are living a very miserable life,, most of them unakuta anaishi uswahilini manzese chumba kimoja/chumba&seble, ana watoto wengi ambao hawez kuwahudumia (in terms of quality food, clothing, health care, education), they have a lot of debts, they cant afford to pay regular bills,

Kwa hyo wanaita anasa ili ku-fullfill the emptiness in their hearts!!
 
Na fact ni kwamba kifo ndiyo kilichowatenganisha as per their vows. Ndoa ilikuwa muhimu sana kwao hadi mauti. No kataa ndoa hapo
hakuna cha ajabu hapo dada Heaven..wote walikua wagonjwa,kaanza wa kwanza kwenda wa pili ni lazima afate right away

Hakuna sijui cha vows,sijui anampenda sana and other story za kufikirika.....mortality imewakuta kaanza mmoja huyu mwingine hatachukua round

Ndoa na blah blah zingine ni imaginary tu,hakuna anejua zaidi ya mioyo yao binafsi,na since ni ukimwi hakuna mwenye afadhali hapo per my guess
 
I know a lot of people ambao wanatumia "dozi" na wamefanikiwa kuishi miaka mingi tu. Na ukiwa muathirika haimaanishi kwamba ukifa tu basi ndiyo HIV imekuua.

Kwa umri wangu huu niliyofanikiwa kuishi; nimekuja kugundua kitu kimoja (majority cases). Baba anapata nguvu kwa mama/mkewe; na mke anapata nguvu kwa watoto wake. Kwa mume na mke ambao kweli wameshibana; akitangulia mke; mume anakuwa kwenye hali tete sana. Na mke/mama akifiwa hata na mtoto mmoja; anaweza akapotea mazima hata kama mume yupo na watoto wengine wapo pia.
 
Samahani lakini; hivi Gardner alifanikiwa kufunga ndoa na mama Karen au walizaa tu mtoto?
 
Walizaa tu mtoto,ndiyo maana alifunga na Jay Dee, na baada ya ndoa na Jay De kufa,hakuweza tena kufunga ndoa,and now Jay De yuko huru kufunga ndoa sasa
Ooh nashukuru sana. Maana nilikuwa nahisi kama hawakufunga ndoa; sasa comments za waja zinadai ni kama walifunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…