Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

Uko sahihi
 
What did you expect kwa kijana aliyekulia ugosini?😂 Thats a norm to them.
 
Walifunga ya kanisani na mama Karen,wakafunga ya serikalini na Jay Dee
Hii sina taarifa yake!

Unaweza tupia walau kapicha ka hiyo ndoa ya kanisani kati ya Mama Caren na Gardner?? Maana siyo rahisi uwe na ndoa ya kanisani halafu ufunge ndoa nyingine tena hata kama ni serikalini,tena za kristo! Mama Caren lazima angeweka pingamizi la ndoa
 
Duuh conclusion yako imetokana na sample na watu watatu
 
Nimekuelewa

Wewe shida yako ni ndoa kama ndoa

Ni sawa,ila haimaanishi ilikua ndoa mahaba niue,kama ingekua hivyo atleast ukimwi usingekuwepo ndani humo to begin with!

Wote hao akina kibonde sijui ruge sijui habash,etc sio mifano ya maisha kabisa
 
Nimekuelewa

Wewe shida yako ni ndoa kama ndoa

Ni sawa,ila haimaanishi ilikua ndoa mahaba niue,kama ingekua hivyo atleast ukimwi usingekuwepo ndani humo to begin with!

Wote hao akina kibonde sijui ruge sijui habash,etc sio mifano ya maisha kabisa
Ooh wao sio mifano mizuri ya ndoa maybe; but haimaanishi kuwa ndoa ni kitu kibaya. Na Kila mtu ana deal breaker yake. Kama walikoseana hadi kupeana Ukimwi lakini wakaamua kusameheana; good for them. Wapo watu wengi tu ambao wana ndoa nzuri na sio kwamba ni 2 perfect people; as long as wao wanasameheana na kuchukuliana; how are we to judge? Ndoa sio lazima; lakini ni ya muhimu sana.
 
Mama malezi ktk ubora wakeee!! [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Nimekusoma

Ila unapenda ndoa jamani,...yaani i can feel it through your text lines here

Mumeo kapata mke for sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…