Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
Jamani, tumechoka kumsikia Ruge Mutahaba kwenye kashfa zisizokuwa na kikomo. Kuanzania Malaria NO More, hadi Sakata la Lady JayDee. Ruge anatuhumiwa kuwa kiongozi katika kuziba rizki na maslahi za wasanii. Ruge huyo huyo anahusishwa na kashfa nyingi sana hasa za unyonyaji katika Tasnia ya Muziki na sanaa kwa ujumla. Joseph Kusaga naye hawezi kubaki nyuma ya Ruge kwenye hizi tuhuma.
Kusaga na Ruge wanatuhumiwa kutumia chombo chao za habari (Redio-Clouds) vibaya kwa maslahi yao na CCM, wakimtumia Ephrahim Kibonde na Arnold Kayanda, ambo ni waropokaji wakubwa
Siyo malamiko kutoka kw amtu mmoja, bali kwa watu wengi sana ambao kwa siku za nyuma waliongozwa na Mbunge Mh. Joseph Mbilinyi. Tafadhalini watanzania wenzangu mnaomfahamu Ruge, mtujuze, ni vipi Ruge amekuwa akiwanyonya wasanii
Kusaga na Ruge wanatuhumiwa kutumia chombo chao za habari (Redio-Clouds) vibaya kwa maslahi yao na CCM, wakimtumia Ephrahim Kibonde na Arnold Kayanda, ambo ni waropokaji wakubwa
Siyo malamiko kutoka kw amtu mmoja, bali kwa watu wengi sana ambao kwa siku za nyuma waliongozwa na Mbunge Mh. Joseph Mbilinyi. Tafadhalini watanzania wenzangu mnaomfahamu Ruge, mtujuze, ni vipi Ruge amekuwa akiwanyonya wasanii