RUGE: nitatoa tamko kesho

Nimesikiliza clip ya huo ugomvi wao nmegundua yalikua maigizo tu..
Eti kuna wakati kama glass znavunjika alaf adam analia yani kama anapigwa ngumi..
Alafu mwishoni anakuja mtu eti mpo on air mashkaji mmesahau kuzima mic alafu mchomvu aanhema kwa nguvu..

Dah,wajinga wengi wamepumbazwa hapa
 
alchokppst adamu mchomv leo naada ya kutoffautiana ks


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Na jinsi tunavyozidi kupost hapa wanajiskia raha Sana wao wanajua Kucheza na Mind za watu so hapa wana wachora tu siamin kama ugomvi unaweza anza kirahisi vile according to ile sound clip
What the ----....!!!!!?????


Sent from my Philips.
 
Ngoja leo tusikilize "kwenye gaaaazeti la makorokocho leo....kuna boboboboboboboooonge moja la storiiiiii....nafungua gaaaazeti pyaaaaaaaa!"
 
tamko limeshatolewa

samahani unauliza au ndo unatoa taarifa? mi kuna mtu kanitumia picha kwa watsAp ikionesha studio zilivyoharibika kutokana na fujo hizo, sasa sijui ni kweli studio ya mawingu au changa tu
 
anasikiliza klauz atuambie leo hicho kipindi kinaongozwa na nani?
 
Ha ha Adam mchomvu kaleta za kinyang'au aisee,,,"Unamvulia nani saa wewe?" Hembu sogeza kimguu hicho


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…