Kuandika vijipoint uchwara kwa ku'bold'Wewe unafanya kazi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuandika vijipoint uchwara kwa ku'bold'Wewe unafanya kazi gani?
Kwi kwi kwi...Kuandika vijipoint uchwara kwa ku'bold'
Hiyo ni kweli,nilishangaa watangazaji wa clouds 360 kupata kadi free!Kumbe mkono wa jamaaAisee mecheka, kumbe host mwenye shoo ya WCB wasaf beach part ni clouds ikiongozwa na Ruge, ubuyu huo nimepata kwa kwa mtu wa karibu wa Ruby, mana naskia ruby alitaka kushriki bure kabisa lakini ruge aliwakatalia wasaf classic.
Nilichojifunza inawezekana kweli ruge ni mtu wa fursa na ideas za kumake money.aliwapa idea wasafi ya beach part, akaingia nao dau, sasa wao wamekuwa kama waalikwa.
Wahaya ni vichwa na Ruge ndo the think tank la clouds.
Sasa diamond promo zote zile kumbe unamfanyia promo RUGE.
Big up RUGE
Mind your own biznes!Am seek and tired on Ruge's stories
Aaaagh!
We vp ww unataka nipigwe Ban sio?Kumbe imefika ngoja nichomoe sindano!!
Sijui ila nataka uniambie yale matangazo kwenye blog yake yanamfanya awe milionea?!Mkuu ulishaingia kwenye blog ya wananchi ya le mutuz? unaona yale matangazo unajua analipwa shilingi ngapi? Huo ni mfano tu acha mambo mengine tusiyo yajua
Unawajua marafiki wa JK? Unamfahamu Lungumi? Jamaa historia yake alikuwa ni fundi viatu na mpaka viatu rangi sasa ni mtu yenye pesa
Mifano ipo mingi mkuu
Watu wa shamba ndo wanaipeenda clauzpole
Ok
hii ya Dar es salaam inayofanyiwa promosheni na clouds ni ya ruge
Je na ile ya iringa inayofanyiwa promosheni na ebony fm ni ya hao ebony
Hata kama umbea ulioleta wa ruge kushawishi wasafi wasimpokee ruby ktk show yao utakuwa wa kweli,
huo ushahidi mahakaman usingetosha hata robo kuthibitisha show ni ya clouds / ruge
NB Ruge yupo karibu na wenye fursa ile naye apate fursa.......,,,.... yupo karibu na mond
Mkuu tufanye umeshinda mimi kampani yangu siyo ya mabishanoSijui ila nataka uniambie yale matangazo kwenye blog yake yanamfanya awe milionea?!
na hayo mengine anayofanya ni yepi?
alafu nimezungumzia Le mutuz sio wakina lungumi
Huwezi kujadili kitu mpaka utukane kabila za watu wengine?! Ustaarabu ni kitu cha bure.Watu design yako wanatokea pwani kwa wazaramo
Yaan hapo ulipo naamini huna maendeleo yoyote, sana sana unasubiri kijua cha saa kumi mkutane kibarazani na kuanza kupiga umbea
Ww unajua maana ya ebony lkn au ushaathirikq na pornoAise kuna redio inaitwa ebony FM 😀😀😀 hivi wanajua maana yake
Kumbe mwezangu ulikuwa unabishana?!Mkuu tufanye umeshinda mimi kampani yangu siyo ya mabishano
Nice day Shekhe!!
Relax!!Huwezi kujadili kitu mpaka utukane kabila za watu wengine?! Ustaarabu ni kitu cha bure.
Na kama sio mzaramo si utakuwa umewakosea wazaramo na sio mlengwa unaetaka ujumbe umfikie ?Watu design yako wanatokea pwani kwa wazaramo
Yaan hapo ulipo naamini huna maendeleo yoyote, sana sana unasubiri kijua cha saa kumi mkutane kibarazani na kuanza kupiga umbea