Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo pesa zilienda Hadi Ikulu kwa Jk. OverLakini hii awamu chini ya Jemedari JPM imejimbanaua kupapambana na ufisadi, inakuaje tena bado kuna watu wanalindwa?!
Majizi na mafisadi ya CCM yatamuua huyu mzee kabla hajatoka gerezani. Ni bora awataje tu yeye mwenyewe.
Kunakipindi kama nilisikia anasema hizopesa sio zetu sasa sijui kwanini zinaendelea kudaiwa.Mstaafu alipiga na yeye? Ntacheka sana akitajwa[emoji23][emoji23][emoji2357]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekani Gavana wa BOT apate kigugumizi cha kuwataja waliopata mgawo wa Escrow ili hali wanajulikana na wananchi tunawajua halafu pale Yupo mahakani kwa hiyo kuwataja sio kosa..na wala hakuwaingizi hatiani....Je GAVANA HAJUI WALIOHUSIKA AMA NI UHUNI INA MAANA AMESHINDWA KUMTAJA HATA NGELEJA NA PROF ANNA NTIBAIJUKA...WALIOPEWA MKIMGAO KIDOGO...
Ruge anatapa tapa
Angejikita katika kupangua kesi yake,ingeweza kumsaidia zaidi kuliko kujaribu ku 'crowd the deck' ili wafe wengi
Ruge anaonekana yupo tayari kwa lolote!
Inajipambanua kinyume na uhalisia... 1.5T zipo wapi..??Lakini hii awamu chini ya Jemedari JPM imejimbanaua kupapambana na ufisadi, inakuaje tena bado kuna watu wanalindwa?!
Tatizo inaweza ikamuhusisha mpaka anayejiita mtumbuaji.. ikitokea hivyo, watashindwia hapoWatajwe wote waliochukua mzigo toka Escrow.
Hapo nitaamini kweli awamu hii ina uzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziweke tu Mkuu ili akili imkae sawa.Ukiendelea kuniletea ujinga natoa picha zako zile za mwanza trc
In God we Trust
Mtemi Chenge hajarudisha na tena anasema hakuna wa kumgusa!
Ziweke tu Mkuu ili akili imkae sawa.