Rugemalila atoa notisi kwa taasisi 6 akiomba aondolewe kwenye kesi ya Uhujumu Uchumi

Niliwahi kusikia huyu mzee mgao wake ulikuwa halali na kodi alilipa Serikalini, pia miamala yote aliyofanya ilikuwa wazi tofauti na wale wa Stanbic walio gawana cash kwenye masandaluthi na fuso.

Hisa zake zilitokana na eneo la shamba lake alilolitoa kwa kampuni kwa ajili ya uwekezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu hujui lolote. Ni bora ukae kimya!
 
Umri kutupa mtu Hai mkono ni nini? Kwa hiyo Hana Umri tena wa kuishi?
 
Hivi, ule mradi so ulibuniwa na kusimikwa kwa maagizo ya waheshimiwa wastaafu wawili mmoja akiwa rais na wengine wakiwa mawaziri chini yake na baadaye mmoja akawa rais pia? Kwa vyovyote mradi ule no wa kwao na huyu mzee alikuwa nyapara tu!
Kuna wanufaika waliowahi kuwa mawaziri Tena wa nishati na wanasheria wakuu wastaafu waliojinufaisha na pesa zile na Hadi leo serikali inayojinadi kupambana na ufisadi imejifunga kamba mikononi na miguuni ikiomba kuombewa!
Waamue moja, kumwaga mboga na ugali kwa pamoja ili wote wale njaa! Yoga unakujaje wakati mkulu anajinadi kuisafisha na kunyoosha?
Mzee Ruge haikubali kuibeba mizigo isiyokuhusu. Wataje wanufaika wote hadharani na sirini ili ukifa uende mbinguni!
 
He is a good Christian and God Fearing Man.
 
Nyepesi nyepesi ni kuwa ameamua kupambana mpaka aone mwisho wake.
Duuh...! Kwa nyakati hizi kama itampa shida. Mimi sioni haja uadhibiwe kwa kitu ambacho unaweza ukakitatua stroke . Hebu fikiria mfano amevamiwa na majambazi wanataka kumnyang'anya hela,na kweli hela anazo ataamua asiwape apambane nao,hata kama atashindwa kupambana nao,wamuue?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyepesi nyepesi ni kuwa ameamua kupambana mpaka aone mwisho wake.

Haijawahi kutokea raia kushindana na serikali.

Serikali ni mamlaka yenye mapana na marefu.

Hii iko duniani kote.
 
Hapa ndio shida ya watanzania ilipo. Hapatatokea tutoke kwenye ukandamizaji kama tutaendelea ku-compromize injustice. Anachofanya Rugemalila ndio kitu sahihi. Na wakilogwa akashinda kesi madai yake yataifilisi nchi. Sheria mbovu na ukandamizaji hauwezi kuondoka bila baadhi ya watu kujitoa muhanga.

Namsapoti Ruge 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He is a good Christian and God Fearing Man.
Ok basi sawa mkuu. Ameanza sasa baada ya kuwa huko mkuu?. Ingekuwa hivyo kwa nini akakwama kwenye haya masakata?. Hapa unaweza kusema labda ameonewa. Kama utasema hivyo nitakuambiwa hivi hakuna kitu kikubwa kama hicho kikakufuata tu kwa nguvu kama kilivyo from no where bila wewe kuwa kwenye hayo masakata sakata kwa namna yoyote ile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haijawahi kutokea raia kushindana na serikali.

Serikali ni mamlaka yenye mapana na marefu.

Hii iko duniani kote.
Umeamua kujidanganya kitanzania siyo? Hujawahi kuona serikali ikishindwa kesi? Mbona hata hapa Tanzania imeshindwa nyingi tu. Mfano ya gazeti la mwanahalisi ikalipa b3?

Ukisema huwezi kushindana na dictators hapo kidoogooo naweza kukuelewa pamoja na kuwa sio kwa asilimia mia. Sababu hata Walijiona juu ya sheria kama bashir sasa wana pingu mikononi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuuu kwani seke seke la Said Bakheresa na serikali ya Benjamin huikumbuki? Serikali ikalipa gharama kubwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa dunia ya sasa ilivyo mkuu,achana kabisa na mambo ya kutegemea haki hapa duniani. Itakuumiza sana. Na tunatafuta hela sio za kulala bank zikusaidie kipindi ambacho zikuwekee sawa kimaisha. Ndio kama hapo yeye. Angepasua mpunga katikati amwage. Ksbb kitu kimoja mkuu kumbuka,kutoa kiasi fulani yeye kukirudusha au kukisalimisha mahala,hakuna atakaekuwa amemkosea au hakuna uhai atakuwa ameuondoa duniani. Zaidi atakuwa amejiweka huru yeye. Kwa nyakati hizi wengi wamefanya hivyo ili wawe salama. Usione wote mamvi na wanarudi kwenye mamboga mboga,usione biriget wa bongo anaendelea kumuvu,alitokewa,akamwaga. Anasavaivo poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzee mie nashindwa kumuelewa
1, kwa maelezo yake anasema anayetakiwa kulipa hizo pesa ni benk ya stardard ch....
2, ana vielelezo vinavyo ibana hiyo benk ya s c na kulipa hizo pesa.
3, pia nimesikia serikali imepokea mkopo wa 3trion kwa ujenzi wa miradi mikubwa hapa inchini kutoka benki hiyo ya standard char...
4, kwa mkopo huo huyu mzee atafia gerezani.
Huyo mzee akubali kuingia makubaliano angarau apunguziwe kiasi ili alipe yaishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…