UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Sio nyepesi ni kaamua kupambana na nyie mafedhuli wakubwa, kama Jakaya Mrisho Kikwete alisema fedha za Escorow sio za umma ni kwa nini Ruge yupo ndani?
Subiria awataje majitu ya ccm yaliyobeba pesa kwenye sandarusi ndio mtatia akili
Japo pia kuna uwezekano kuna wapinzani walipewa hizo hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiria awataje majitu ya ccm yaliyobeba pesa kwenye sandarusi ndio mtatia akili
Japo pia kuna uwezekano kuna wapinzani walipewa hizo hela
Nyepesi nyepesi ni kuwa ameamua kupambana mpaka aone mwisho wake.
Sent using Jamii Forums mobile app