Rukwa: Adaiwa kumuua mkewe kwa kumnyonga akimtuhumu kuchepuka, naye ajiua kwa kujinyonga

Upande wa pili pia tumeusikia maana jamaa kaweka viambata vya mwanamke anavyo panga ratiba za kwenda kuuchezea kwingine

Wala haitaji kumsikiliza mwanamke maana amewakilishwa na audio zake
 
Ni muda umefika wizara ya elimu ianzishe Somo la Saikolojia kuanzia shule za msingi. Hapo mambo ya ushauri nasaha na unasihi yatafundishwa kwa undani na watu wengi watapata elimu ya kujitambua uwezo na udhaifu wao na hivyo kuweza kujichukua wenyewe (self) bila kutoa madhara kwao na kwa wengine.
 
Lucy mapenzi Kwa jamaa yalishakwisha alikuwa akitafuta sababu Tu
 
Mwanaume yeyote ambaye akili yake inateswa na mapenzi hana akili, mwanaume yeyote anayeteswa na mwanamke kwasababu ya wivu wa mapenzi ni chizi. ukishindwa kuwa na kiasi kwenye hii dunia utaumia kupita kiasi..
 
Neskiliza hizi voice notes, kwakweli mwamba alikua mwamme mvumilivu
Mapenzi ya upande mmoja, na kutokuwa na kipato.

Kwa nilivyozisikiliza Lucy hakuwa na mapenzi na Emma, Emma alikuwa analazimisha mapenzi na mbaya zaidi Lucy amemfanyia Emma vituko vya makusudi na wazi ili Emma aachie ngazi ila kwasababu Emma alikuwa amependa ikawa ngumu kukubali matokeo.

Pamoja Emma kipato chake kilikuwa hakitoshelezi kwa kweli alijitahidi kuingia madeni ili kutatua shida za Lucy ambae hakuwa anajali kabisa bidii ya Emma
 
Huyu mhasibu aliyetajwa kwenye voice je Polisi watauchukua ushaidi? maana yalikuwa mahaba mazito mpaka Lucy alisema alipenda style za muhasibu wakiwa kwenye 6×6
 
Inaonekana jamaa hakuplan kuua, mzozo uliotokea gest ukute jamaa alimpiga na kitu demu akazima, ndio mchizi akajiongeza kusepa kwenda katavi
 
Lakin kuna audio moja Emma anamuuliza kama bado wanaendelea na uhusiano wao, Lucy akamwambia wapo pamoja... Bora angemchana live aumie yaishe kuliko kumkubalia halafu rohoni hamna kitu
 
Jamaa aliyejulikana kwa jina la Jerome,amemuua mke wake aliyekua anajulikana kwa jina la Lucy na kisha kujiua.Jamani kama huwezi kuachana na ex wako,usiolewe,na kama ukiolewa,achana na ex wako.
Ukisikiliza hii VN unaweza hata ukatumia njia ya maumivu katika kutekeleza haya mauaji ya uyu mwanamke.apumzike kwa amani mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…