Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 259
Mwanamke mmoja aitwaye Janath Swedi (72) Mkazi wa Mtaa wa Mtakumbuka, Kata ya Momoka Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa, ameuawa kwa kushambuliwa na kundi kubwa la nyuki nyumbani kwake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Mohamed Makubi amesema tukio hilo lilitokea mtaani kwake Julai 10, 2023 na jitihada za kumuokoa Mwanamke huyo zilifanyika akapelekwa Hospitali lakini ilipofika majira ya saa nane usiku wa kuamkia Julai 12 alifariki.
Diwani wa Kata ya Momo, Charles Chakupewa amekiri kutokea kwa tukio hilo.
CHANZO: Millard Ayo
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Mohamed Makubi amesema tukio hilo lilitokea mtaani kwake Julai 10, 2023 na jitihada za kumuokoa Mwanamke huyo zilifanyika akapelekwa Hospitali lakini ilipofika majira ya saa nane usiku wa kuamkia Julai 12 alifariki.
Diwani wa Kata ya Momo, Charles Chakupewa amekiri kutokea kwa tukio hilo.
CHANZO: Millard Ayo