Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hiyo inaitwa ...eat more fish,more meat and the rules say so...!Hamuwaongezei mshahara wala kuwapatia marupurupu mnatarajia wawachekee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We maku unavimba nyuma ya keyboard eti?Nguruwe waliokuleta duniani ukiwa taahira!
Ungekutana na mimi ningesambaratisha kinyeo chako!We maku unavimba nyuma ya keyboard eti?
Umgekutana na mm laivu ungenitambua vizuri mm n nani punguani wahead ww
Ametoa wapi mamlaka ya kuwapa grace period wahalifu waliogawana 1,749,917.741935484 kila mmojaMisungwi alisema katika halmashauri hiyo, watendaji 93 wametumia Sh. 162,742,350 (milioni 162.7), hivyo kuwataka wazirudishe kabla ya Februari 28, vinginevyo ataliagiza Jeshi la Polisi kumkamata kila mtendaji anayedaiwa.
Hivi toka lini mtendaji kata akawa Accounting Officer?
Wengi hapo utakuta waligombea udiwaniKumekucha, sio kwamba haya madudu wanafanya wapinzani na kutuchelewesha?
Watawala mbona wanapiga?Watu bado awaogopi kupiga