Entreprenegro
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 601
- 132
Wauza sembe ndio habari ya mjini..
Kuna mtu alinipita na AUDI Q-7 mpyaaaaa hadi nikaogopa.. Nikapiga hesabu za haraka haraka nikakuta vi corolla kama changu vinaingia kama 30 hivi kufikia bei ya hiyo gari moja...
Wauza sembe wapo wengi sana Dar es salaam. Na ndio wanasumbua sana dada zetu
duh hii ni hatari hapa Sinza ndo usiseme watu wanapush Range rover new model, range evique, izo audi q-7 za kutosha mpaka unajiuliza haya maisha magumu kwa watu wachache au wotee