Rummy aitingisha DSM


duh hii ni hatari hapa Sinza ndo usiseme watu wanapush Range rover new model, range evique, izo audi q-7 za kutosha mpaka unajiuliza haya maisha magumu kwa watu wachache au wotee
 
Duh.. Tanzania yetu weee.. Where r u goin jamani..
Urembo wako ume Paukaaa..
Sifa yako kwishney..
Amani yako nduuuki..
Nijivunie nini leo?
 
duh hii ni hatari hapa Sinza ndo usiseme watu wanapush Range rover new model, range evique, izo audi q-7 za kutosha mpaka unajiuliza haya maisha magumu kwa watu wachache au wotee

Watu wana hela za kufa mtu,kuna kiwanja mori 30m kwa 30m kinauzwa Tsh 980m
 

Nyie kalieni chadema....mtasindikiza tuu.....
 
jamani hii kweli halali mimi na vishahada vyangu viwili vya kusomea na mkopo ambao cjaumaliza kuurudisha hadi leo sina hata KIVITS au KINOA yani mtu hata cjui kama f4 alimaliza anamiliki Q7,RANGE ROVER sijui nini kaaa kweli nimeamini usiseme TZ ni masikini sema mimi kabwela ni masikini!
 
Hapana Wema ndio aliyemuunganishia Rooney......Njoo M/nyamala ukimuulizia unapelekwa hadi kwake msela ana chedda ya sembe.
Kwa hiyo na yeye atagombea UBUNGE 2015 kama mwenzie wa Chalinze.
 
Usilazimishe maisha mkuu kumbuka kuna leo na kesho alafu usipende sana kulaumu bali fanya kazi kwa bidii gari ukitaka utapata tu tena siyo hizo za kijapani engine holaa bali kipya, ukishazaliwa kwenye familia duni lazima upitie HUSTLING COLLEGE huko utajifunza mengi sn kutoka kwa hustlers wengine.

 
nimekuja mbio nikidhani wayne rooney kumbe rooney fake. tanzania bwanaa
 

Acha uoga si kila mwenye Audi anauza sembe.Negative thinking
 

Swali la kujiuliza ni moja tu, Ni kwa nini wao wameweza kuwa na hivyo ulivovitaja na wakati huo huo wengine hawana hata baiskeli ya phoenix.You are what you think
 
Acha kumfagilia mwanaume mwenzako wewe chizi nn? Post vitu vya maana acha kutuletea stori za bangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…