Rummy aitingisha DSM


Acha uswahili wa kidar salaama mnawaza magar huku mnapanga chumba kimoja wenzenu huwa tunawaza mijengo na kukuza mitaji magar ni kitu cha kawaida sana na sio utajir achen ulimbuken wa magar
 

Mbona kuna siku kupitia eatv nilimuona wema anasema kuwa yeye wema ndio aliye toa hizo 13m?
 
Mi napita tu wajameni, hayo ma Q7, na maugali ya sembe hata sielewi kwaakweli. Infwact mumenipiga knock out, yo maaweeee
 
Kichwa cha habari kiliniwahisha, kumbe ROONEY dereva sio msakata kabumbu

Haya kaka
 

nami ni tajiri wa huku nimenunua kamtaa wananitii wote
 
Ndo maana vijana wetu hawachoki kujitoa muhanga japo wanakamatwa kila leo
 
We kweli mtanzania! habari za hovyoo! ya umbea tu! ngoja nikutupie utumbo mmu.
 
Atueleze tuelewe kama alikua anatumia makalio kama buti ya kubebea mzigo. Biashara gani ghafla bin vuu unanunua mtaa mpaka kituo cha polisi. Lowasa mwenyewe hajajenga hata polisi posti leo dogo anafanya kufuru hamumchukulii hatua. mchunguzeni vizuri.
 
Atueleze tuelewe kama alikua anatumia makalio kama buti ya kubebea mzigo. Biashara gani ghafla bin vuu unanunua mtaa mpaka kituo cha polisi. Lowasa mwenyewe hajajenga hata polisi posti leo dogo anafanya kufuru hamumchukulii hatua. mchunguzeni vizuri.

Nimemuona kwenye Drug Dealer of the week kwa Mange...Rumishael Shoo.
 
kweli huyu rummy amewatandiga madem wa bongo move na bongo fleva kibao
 
kweli huyu rummy amewatandiga madem wa bongo move na bongo fleva kibao
Nimemuona kwenye Drug Dealer of the week kwa Mange...Rumishael Shoo.

Correction:Sio Rooney ni Rummy,Mods wameiweka Thread Kwenye Jokes??? Tangia Mwaka 2013 watu tunapiga Kelele Kuhusu Huyo mtu kuwa na fedha za ajabu ndio amekuja kukamatwa leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…