ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nataka nipime uwajibikaji wa serikali. toka asubuhi nimeona kuna rundo la madawa yametupwa barabarani kabisa Jambo ambalo ni hatari madawa yenyewe yanafanana na Yale ya minyoo watoto wakiyaona watadhani ni pipi sijui ndo yame expire au vipi.
Me siwezi kujitolea kuanza kuyaokota sio kazi yangu hiyo ni kazi ya manispaa. Karibia gunia zima la vidonge.
Ngoja ni-attach picha yake.
Me siwezi kujitolea kuanza kuyaokota sio kazi yangu hiyo ni kazi ya manispaa. Karibia gunia zima la vidonge.
Ngoja ni-attach picha yake.