Rundo la vidonge vimetupwa mtaani, naenda kuwaeleza serikali ya mtaa

Rundo la vidonge vimetupwa mtaani, naenda kuwaeleza serikali ya mtaa

Watoto wanavyochukia dawa !! Waanze tu kuokota na kula ?
Anyway labda watoto wanatofautiana pia, maana hawa wangu linapokuja swala la dawa , ni balaa.
Ohooo mkuu watataka kujaribu,chezea watoto weee halafu wa uswahilini!!Kuna wengine dawa kwao ni pipi
 
Back
Top Bottom