Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unatumia nn???Vinafanana na ARVs
Nakazia hapaMungu akubariki kwa moyo huo. Pia ungesema ni Mkoa gani, wilaya, kata, mtaa n.k
Nazijua, naishi na mtu anayezigawa.Mkuu unatumia nn???
Ndo zenyewe
Pia si ajabu hata ukiwa mtumiaji maana ni kawaida siku hiziNazijua, naishi na mtu anayezigawa.
Tunasubiri pichaNataka nipime uwajibikaji wa serikali.toka asubuhi nimeona kuna rundo la madawa yametupwa barabarani kabisa Jambo ambalo Ni hatari madawa yenyewe yanafanana na Yale ya minyoo watoto wakiyaona watadhani Ni pipi sijui ndo yame expire au vipi.me siwezi kujitolea kuanza kuyaokota sio kazi yangu hiyo ni kazi ya manispaa..karibia gunia zima la vidonge.ngoja Ni attach picha yake.
Nakazia hapa
DodomaMungu akubariki kwa moyo huo. Pia ungesema ni Mkoa gani, wilaya, kata, mtaa n.k
HioTunasubiri picha
Hilo fuko mbona hatulioni? Hivyo vichache sana. Badala ya kuvipiga picha ungevikusanya ukaviteketez,e tu.Hivyo hapo vimemwaga kwenye limfuko kubwa View attachment 1912559
Hapo watoto lazima wakimbilie kabisa vitamu hivyo.
He.. Kumbe ni wewe mkuu au viatu nimevifananisha? Ila kukcha nitakuja hapo saa Saba.Hivyo hapo vimemwaga kwenye limfuko kubwa View attachment 1912559
Wapi me Niko dodoma we uko wapHe.. Kumbe ni wewe mkuu au viatu nimevifananisha? Ila kukcha nitakuja hapo saa Saba.
Teh teh teh. Siyo ARV hizo?Viko vingi Sana kwenye likiroba...nimeenda ofisini mwenyekiti hayupo kaenda sijui kanisani...Sasa Mimi bado sijafikia uzalendo wa kiasi Cha kuzoaView attachment 1912566
Kijana mbona unakuwa mbinafsi!!? tabia ya mabepali! sisi ni wajamaa banaMkuu Mbona unajisumbua. Wewe jali maisha yako na familia yako.
Hiyo miguu ni yako mkuu?Hivyo hapo vimemwaga kwenye limfuko kubwa View attachment 1912559
Watoto wanavyochukia dawa !! Waanze tu kuokota na kula ?Hapana mkuu sio vzr wako watoto wadogo wanaweza kuvila..
Mkuu Mbona unajisumbua. Wewe jali maisha yako na familia yako.
Mhh mbona hizi Kama Ni rifampicin e za TB?