Rundo la vidonge vimetupwa mtaani, naenda kuwaeleza serikali ya mtaa

Rundo la vidonge vimetupwa mtaani, naenda kuwaeleza serikali ya mtaa

Afisa afya, Afisa mazingira, Mkemia, hawa huwa wapo huko maofisini tu.
 
Nataka nipime uwajibikaji wa serikali.toka asubuhi nimeona kuna rundo la madawa yametupwa barabarani kabisa Jambo ambalo Ni hatari madawa yenyewe yanafanana na Yale ya minyoo watoto wakiyaona watadhani Ni pipi sijui ndo yame expire au vipi.me siwezi kujitolea kuanza kuyaokota sio kazi yangu hiyo ni kazi ya manispaa..karibia gunia zima la vidonge.ngoja Ni attach picha yake.
Tunasubiri picha
 
Tunasubiri picha
Hio
IMG_20210828_124948.jpg
 
Hapana mkuu sio vzr wako watoto wadogo wanaweza kuvila..
Watoto wanavyochukia dawa !! Waanze tu kuokota na kula ?
Anyway labda watoto wanatofautiana pia, maana hawa wangu linapokuja swala la dawa , ni balaa.
 
Haya ni mawazo ya mtu maskini asiyejitambua.

Wewe uko hapo ulipo kwa sababu kuna watu walijali sana ustawi wako bila hata wewe kujua.Uko salama kwa sababu yupo mtu hakuamua kujali mambo yake tu bali ya jamii yake yote.

Achana na ubinafsi wa kishamba namna hii
Mkuu Mbona unajisumbua. Wewe jali maisha yako na familia yako.
 
Back
Top Bottom