COMOTANG JF-Expert Member Joined Jan 6, 2021 Posts 2,131 Reaction score 1,821 Aug 29, 2021 #41 t blj said: Watoto wanavyochukia dawa !! Waanze tu kuokota na kula ? Anyway labda watoto wanatofautiana pia, maana hawa wangu linapokuja swala la dawa , ni balaa. Click to expand... Ohooo mkuu watataka kujaribu,chezea watoto weee halafu wa uswahilini!!Kuna wengine dawa kwao ni pipi
t blj said: Watoto wanavyochukia dawa !! Waanze tu kuokota na kula ? Anyway labda watoto wanatofautiana pia, maana hawa wangu linapokuja swala la dawa , ni balaa. Click to expand... Ohooo mkuu watataka kujaribu,chezea watoto weee halafu wa uswahilini!!Kuna wengine dawa kwao ni pipi
COMOTANG JF-Expert Member Joined Jan 6, 2021 Posts 2,131 Reaction score 1,821 Aug 29, 2021 #42 mugah di matheo said: Nakazia hapa Click to expand... Naongezea mkazo mkuu
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Aug 29, 2021 Thread starter #43 COMOTANG said: Naongezea mkazo mkuu Click to expand... Dodoma Kisasa relini
COMOTANG JF-Expert Member Joined Jan 6, 2021 Posts 2,131 Reaction score 1,821 Aug 29, 2021 #44 ndege JOHN said: Dodoma Kisasa relini Click to expand... Sawa mkuu Kama Happ Kuna kituo kidogo cha afya labda wameya mwaga Kwasababu wagonjwa ambao humeza mchanganyiko wa hizo dawa huwa hawapewi dawa nyingi kiasi hicho
ndege JOHN said: Dodoma Kisasa relini Click to expand... Sawa mkuu Kama Happ Kuna kituo kidogo cha afya labda wameya mwaga Kwasababu wagonjwa ambao humeza mchanganyiko wa hizo dawa huwa hawapewi dawa nyingi kiasi hicho