Rungu la TCRA lawashukia Wasafi Tv, Clouds FM, Carry Mastory, Radio one na RFA kwa kurusha maudhui yaliyo kinyume na Sheria

Rungu la TCRA lawashukia Wasafi Tv, Clouds FM, Carry Mastory, Radio one na RFA kwa kurusha maudhui yaliyo kinyume na Sheria

Wakuu,

Nimeona kupitia nipashetz Instagram account kuwa TCRA wameipiga kufuli hicho kipindi kwa kukiuka maudhui ya utangazaji. Pia hawatakiwi kuwa na kipindi Chenye maudhui hayo kuanzia leo.

Poleni sana kwa Clouds fm kwa pigo hili ingawa hatujui chanzo halisi ni nini.

Ushauri nyakati hizi Jahazi haipo turudisheni burudani za zamani, maneno kidogo muziki mzuri unatawala dizaini ya mid morning jams ile ya dj boogie Master.

Pendekezo: Itapendeza mkimpa space John Dilinga na mtu wa sports kidogo lakini mziki mzuri ukitawala na maneno kidogo.

Kuwa na kipindi kisicho na maudhui ya Jahazi kwa jioni ni mtihani. Kila lakheri kwenu.
Wasafi nao wamepigwa faini ya milioni 5 .hii yote kwa kuwa leo asbh amerusha habari za CHADEMA ofisi kuchomwa moto
 
Wakuu,

Nimeona kupitia nipashetz Instagram account kuwa TCRA wameipiga kufuli hicho kipindi kwa kukiuka maudhui ya utangazaji. Pia hawatakiwi kuwa na kipindi Chenye maudhui hayo kuanzia leo.

Poleni sana kwa Clouds fm kwa pigo hili ingawa hatujui chanzo halisi ni nini.

Ushauri nyakati hizi Jahazi haipo turudisheni burudani za zamani, maneno kidogo muziki mzuri unatawala dizaini ya mid morning jams ile ya dj boogie Master.

Pendekezo: Itapendeza mkimpa space John Dilinga na mtu wa sports kidogo lakini mziki mzuri ukitawala na maneno kidogo.

Kuwa na kipindi kisicho na maudhui ya Jahazi kwa jioni ni mtihani. Kila lakheri kwenu.
Nini tena???

Ila pamoja na yote hizi sheria za kipuuzi hazimpi nafasi,mtuhumiwa kukata rufaa yaani BASATA na TCRA maamuzi yao kama risasi yakitoka yametoka.
 
Mkuu shilawadu wameanza kutoa WCB lini boss? Maana nina miezi kama 10 sijawahi angalia.
unajua ile ststion inakoelekea akileta undezi pale kuna siku mmoja baada ya mwingne atatfuta njia yake...wamekosa attention kama za zamani..kipindi cha shilawadu kikowapi???walikuwa hawatoi taarfa za wcb lakini siku hizi kila siku wanatoa taarfa za wcb tu..unafiki una mwisho mbaya sana aisee
 
Wasafi nao wamepigwa faini ya milioni 5 .hii yote kwa kuwa leo asbh amerusha habari za cdm ofisi kuchomwa moto
Seriously? Nilisikia asubuhi Kipanya akimsahihisha Samsasali kuwa aseme ofisi zimeungua moto na si zimechomwa moto hadi vyombo husika vitapodhibitisha [emoji6]
 
Seriously? Nilisikia asubuhi Kipanya akimsahihisha Samsasali kuwa aseme ofisi zimeungua moto na si zimechomwa moto hadi vyombo husika vitapodhibitisha [emoji6]
Nimeona saa hivi tcra imetoa waraka wao kuhisu wasafi
 
Safi sana mimi nataka chaneli zote zinazojipendekeza zilambwe...kila mtu atapigwa spana kwa wakati wake mpaka akili ziturudie kwa kosa la kukabidhi nchi kwa kikundi cha watu wachache.
Wasafi nao wamepigwa faini ya milioni 5 .hii yote kwa kuwa leo asbh amerusha habari za cdm ofisi kuchomwa moto
 
Watangazaji wetu sasa wana mtihani kwa kila neno linalowatoka. Inaonesha kuna watu TCRA wanasikiliza radio zote na kila kipindi?
 
Wakuu,

Nimeona kupitia nipashetz Instagram account kuwa TCRA wameipiga kufuli hicho kipindi kwa kukiuka maudhui ya utangazaji. Pia hawatakiwi kuwa na kipindi Chenye maudhui hayo kuanzia leo.

Poleni sana kwa Clouds fm kwa pigo hili ingawa hatujui chanzo halisi ni nini.

Ushauri nyakati hizi Jahazi haipo turudisheni burudani za zamani, maneno kidogo muziki mzuri unatawala dizaini ya mid morning jams ile ya dj boogie Master.

Pendekezo: Itapendeza mkimpa space John Dilinga na mtu wa sports kidogo lakini mziki mzuri ukitawala na maneno kidogo.

Kuwa na kipindi kisicho na maudhui ya Jahazi kwa jioni ni mtihani. Kila lakheri kwenu.
Wacha Clouds wakale walikopeleka mboga!

pale wana mtu mmoja tu anayejitambua - Masoud Kipanya basi.
 
Back
Top Bottom