Tiivii yao haina mvuto. Wamefunga zote za ndani tusizione kupitia DStv zikabakia clouds 2 wasafi na tve. Ssas wameondoa wasafi.Hivi hawa tisiaraei hawaonagi vifurushi vya mitandao kila siku wao na tv tu..π
Acha ukaidi, maana utapigwa tuLeo nme amini maendeleo hayana chama![emoji3][emoji3] TV ya makada watiifu walikua wana washa chama kika zima [emoji23][emoji23][emoji23]
Awapeleke karantini watangazaji wakeTCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha kurusha matangazo kwa miezi sita kuanzia leo kutokana kwa kukiuka kanuni za utangazaji kwa kurusha maudhui ya utupu....
Hawa adhabu waliopewa ndogo sana ...wangefungiwa angalau kuanzia miaka miwili wapate muda wa kwenda kusoma kwenye vyuo vya habariTCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha kurusha matangazo kwa miezi sita kuanzia leo kutokana kwa kukiuka kanuni za utangazaji kwa kurusha maudhui ya utupu.....
Maadili Wanayajua!? Acha tupambane tu. Wale wengine waliletewa kioo wakauza nchi... Wa sasa hivi wameletwa kioo wamesahau who they are... Wanatetea vitu vya ajabu kabisaWewe ndugu siujui umri wako ila tambua hakuna gharama kubwa kama kulinda maadili ya kizazi hasa wakati huu tuliopo ambao baba kuangalia Tv na watoto ni jambo la kawaida kabisa na watoto wenyewe siku hizi wanachagua kabisa station za kuangalia sasa tu-assume ndo wewe baba upo na wanao aged 11/13 sitting room mnaangalia Tv kisha mara anapita jiji mane anakatiza uchi kwenye kioo wewe kama baba utajificha wapi?maana siyo unatetea tu jua na hasara zake!!!
This is the best move...Kufungiwa inaweza isiwe issue ila kufungiwa miezi 6 kwa ajili ya Giggy Money ni upuuzi wa hali ya juu..
Tcra imtoa adhabu kwa mihemko
Sioni hii adhabu ikitekelezeka kwa namna yeyote ile
Wasafi sio bland ndogo, tcra wamekurupuka
Uzi tayar
Bland ndio nini?Tcra imetoa adhabu kwa mihemko
Sioni hii adhabu ikitekelezeka kwa namna yeyote ile
Wasafi sio bland ndogo, tcra wamekurupuka
Uzi tayar