Universal-soldier
Member
- Dec 27, 2020
- 43
- 70
Kwa jeuri wasafi wanaenda kwenye party nyingine kwa hiyo miezi sita kama ile iliyopita.
#mchezousiuchezeeeee
#mchezousiuchezeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuuDah....!!,diamond na magu damu damu,nategemea mabadiliko ya adhabu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi hawa tisiaraei hawaonagi vifurushi vya mitandao kila siku wao na tv tu..[emoji28]
Serikali/TCRA ina mambo kibao hua inazingua lkn kwny hili niko nao pamoja kwa 100%.Hao TCRA itabidi wapunguziwe mamlaka, itakuwa wanatumika tu na washindani wa kibiashara wa watu.
Miezi sita as if wametangaza kupindua serikali.
Hizo ni ajira za watu na ni uwekezaji pia lazima adhabu zizingatie na hayo.
We jamaa bumunda kabisa, si umetoka kupinga watu kuajiriwa wewe??Hao TCRA itabidi wapunguziwe mamlaka, itakuwa wanatumika tu na washindani wa kibiashara wa watu.
Miezi sita as if wametangaza kupindua serikali.
Hizo ni ajira za watu na ni uwekezaji pia lazima adhabu zizingatie na hayo.
Huyu syo msanii kaingia kwenye sanaa kutanua wigo la soko lake
Utakuwa umekurupuka tu.We jamaa bumunda kabisa, si umetoka kupinga watu kuajiriwa wewe??
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] imeisha hio mkuu.Shida ya kukumbatia Malaya ...safi sana
Mbona picha na vazi la kisanii hilo? Alichofanya ni kuongeza urembo maeneo nyeti. Kawaida hiyo kisanii. Mimi nilisikia uchi nilifikiri aliingia bila nguo kabisa. Kumbe kaingia na artist attire. Kibongobongo tunaita uchi.
No midogo sana wangepigwa miaka 4 mpk uchaguz tenaAiseee miezi sita ni parefu sana, TCRA waaliangalie hili upyaa. Kama ni miezi sita basi wasafi imepotea kabsa.
Kuna ajira za watu hapo na wanasomesha watoto wao sasa sijui watoto watalipwaje Ada.
Aisee ni Bora akamatwe Tu Kwa huu UJINGA...hili ni kosa la jinai kutembea uchi hadharaniHahah mzawa kabisa mkuu.
Kwa nini?Serikali/TCRA ina mambo kibao hua inazingua lkn kwny hili niko nao pamoja kwa 100%.
Wazungu kama nyinyi hamkosekani bongo mkuu.Mbona picha na vazi la kisanii hilo? Alichofanya ni kuongeza urembo maeneo nyeti. Kawaida hiyo kisanii. Mimi nilisikia uchi nilifikiri aliingia bila nguo kabisa. Kumbe kaingia na artist attire. Kibongobongo tunaita uchi.
Pia mapato ya serikali miezi 6 yanapotea. Wafikirie kiuchumi na kijamii kwa pamoja.Aiseee miezi sita ni parefu sana, TCRA waaliangalie hili upyaa. Kama ni miezi sita basi wasafi imepotea kabsa.
Kuna ajira za watu hapo na wanasomesha watoto wao sasa sijui watoto watalipwaje Ada.