RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu

Wazungu kama nyinyi hamkosekani bongo mkuu.
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu. Mimi nimeona kawaida sana sana. Hivyo viurembo alivyozungushia maeneo pendwa ndiyo Tisiaraei wanalilia. Mimi sikuwa nimeona bali nilisikia tu. Sasa aliyetuwekea picha hapa ndiyo amenifungua macho kumbe hakuwa uchi bali artistic attire yake ndiyo timeshindwa kuielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…