Tunataka nidhamuPia mapato ya serikali miezi 6 yanapotea. Wafikirie kiuchumi na kijamii kwa pamoja.
No midogo sana wangepigwa miaka 4 mpk uchaguz tena
Si waliwapigia kampeni
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wakalipiwe na Gigy Money.Aiseee miezi sita ni parefu sana, TCRA waaliangalie hili upyaa. Kama ni miezi sita basi wasafi imepotea kabsa.
Kuna ajira za watu hapo na wanasomesha watoto wao sasa sijui watoto watalipwaje Ada.
Huu ndio utupu?...hawa jamaa hawapo serious......nani kawaambia utupu upo hivi...
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu. Mimi nimeona kawaida sana sana. Hivyo viurembo alivyozungushia maeneo pendwa ndiyo Tisiaraei wanalilia. Mimi sikuwa nimeona bali nilisikia tu. Sasa aliyetuwekea picha hapa ndiyo amenifungua macho kumbe hakuwa uchi bali artistic attire yake ndiyo timeshindwa kuielewa.Wazungu kama nyinyi hamkosekani bongo mkuu.
Sasa hapo utupu uko wapi
Nami nashangaa mkuu.. mbona hilo ni vazi sio "uchi?"Mbona picha na vazi la kisanii hilo? Alichofanya ni kuongeza urembo maeneo nyeti. Kawaida hiyo kisanii. Mimi nilisikia uchi nilifikiri aliingia bila nguo kabisa. Kumbe kaingia na artist attire. Kibongobongo tunaita uchi.
Hapo akigeuka nyuma kuna kamkanda ka-bikini tu kamepita katikati ya matakory.Sasa hapo utupu uko wapi
Huko kuna 10%Hivi hawa tisiaraei hawaonagi vifurushi vya mitandao kila siku wao na tv tu..😅
Pia mapato ya serikali miezi 6 yanapotea. Wafikirie kiuchumi na kijamii kwa pamoja.
Ukiweka picha na Jf inafungiwa , sasa lipi Jema ?!Huu uzi bila picha au video, ni sawa na ugali bila mboga
Wa kwa mpalange.Huyu ni mtanzania?