johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msafwa mwenzioAlikuwa na nguvu eeeh? Hivi kasesela kabila gani yule simuelewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msafwa mwenzioAlikuwa na nguvu eeeh? Hivi kasesela kabila gani yule simuelewi
Mimi Mnyakyusa sio Msafwa mie aisee. Asili yetu ilitokea kwa Wandali wakalowea unyakyusaniMsafwa mwenzio
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ccm ni mkusanyiko wa panya kwenye Shamba la karanga
Na Kasesela ni mnyakyusa aliyeolea uchagani.Kwahiyo wewe na watoto wa Kasesela hamtofautiani sana!So kura yako ni muhimu kwake.Mimi Mnyakyusa sio Msafwa mie aisee. Asili yetu ilitokea kwa Wandali wakalowea unyakyusani
Leo kuna mtu kakulalia?? Mbona unachangia uharo?? Kwani CCM ndio inagawa majimbo?? [colour=red]Kama CCM inagawa majimbo basi ni kweli Tume ya uchaguzi ni CCM kama inavyodaiwa[/color] huwezi kuwa na akili za darasa la kwanza B kama hivi ndg
Anaota baba yako basiiEndelea kuota kuwa Tume ya uchaguzi ni huru, na sio tume tu hata mihimili, vyombo vya usalama na taasisi mbalimbali hakuna iliyohuru na inahudumiwa kila kitu na serikali.
Ni ujinga kujiaminisha kuwa unaBunge huru huku maagizo na huduma za msingi zinategemea huruma ya serikali hasa Raisi
Ni ujinga kujiaminisha una mahakama huru, huku zikipangiwa kesi za kusikiliza kwa mwaka, zikishindwa zinatumbuliwa na serikali ya CCM....Hujiuliza Jaji,Afisa wa jeshi la JWTZ, Afisa wa Polisi wakishastaafu wanakuwa wanachama watiifu wa CCM na hata kugombea nafasi mbalimbali.
Huwa hujiulizi wanakuwa wamejiunga lini na CCM.?
Ni ujinga kujifanya hujui kitu ambacho unakijua.![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Rungwe na Kyela wapi na wapiNa Kasesela ni mnyakyusa aliyeolea uchagani.Kwahiyo wewe na watoto wa Kasesela hamtofautiani sana!So kura yako ni muhimu kwake.
Kumbe unaitika kwa AlipipiRungwe na Kyela wapi na wapi
What happened to you idawa?? Sio tena yule idawa wa 2012?? Anyway hapo mkakati ni upi kma sio uhuni tu... yaani kwa akili zako kma wamegawa jimbo unafkiri watakubali dr tulia aangushwe hta kma kweli hakubaliki huko?? Kubaka demokrasia ni mkakati??Hapo ndipo utakapoona tofauti ya CCM na vyama vingine, wakati CCM wanaanza mikakati leo ya 2020 kuna watu wanasubiri kubadili gia angani miezi sita kabla ya uchaguzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe unaitika kwa Alipipi
Mpe kura yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hizi ni siasa tu, tukubali kutokubaliana ili tusonge mbele.!Anaota baba yako basii
Mkuu kwa sasa nahamishia makazi yangu ikuti mpaka 2020 nitakuwa nimejijenga vizuriUgwe songo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa SongoMkuu kwa sasa nahamishia makazi yangu ikuti mpaka 2020 nitakuwa nimejijenga vizuri
Usonge mbele eeh na nani?Mkuu hizi ni siasa tu, tukubali kutokubaliana ili tusonge mbele.!
hata liwe jiwe ni [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]Mpe kura yako
Hahahaa umeuahata liwe jiwe ni [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]
Hapo ndipo utakapoona tofauti ya CCM na vyama vingine, wakati CCM wanaanza mikakati leo ya 2020 kuna watu wanasubiri kubadili gia angani miezi sita kabla ya uchaguzi.
Umemaliza.Asante Sana.Endelea kuota kuwa Tume ya uchaguzi ni huru, na sio tume tu hata mihimili, vyombo vya usalama na taasisi mbalimbali hakuna iliyohuru na inahudumiwa kila kitu na serikali.
Ni ujinga kujiaminisha kuwa unaBunge huru huku maagizo na huduma za msingi zinategemea huruma ya serikali hasa Raisi
Ni ujinga kujiaminisha una mahakama huru, huku zikipangiwa kesi za kusikiliza kwa mwaka, zikishindwa zinatumbuliwa na serikali ya CCM....Hujiuliza Jaji,Afisa wa jeshi la JWTZ, Afisa wa Polisi wakishastaafu wanakuwa wanachama watiifu wa CCM na hata kugombea nafasi mbalimbali.
Huwa hujiulizi wanakuwa wamejiunga lini na CCM.?
Ni ujinga kujifanya hujui kitu ambacho unakijua.![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Fanya haraka sana.Mkuu kwa sasa nahamishia makazi yangu ikuti mpaka 2020 nitakuwa nimejijenga vizuri