Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Sawa mkuu niko luswisi naelekea hukoFanya haraka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu niko luswisi naelekea hukoFanya haraka sana.
Tatizo lipo wapi?Kama ilivyo nakujaga na info za kutokea kule mkoani kwetu Mbeya. Kuna taarifa nyeti toka kwa watoa hizi taarifa kuwa Jimbo La Rungwe litagawanywa mara mbili.
Kumbuka miaka michache tulikuwa na Rungwe Mashariki na Rungwe Magharibi ikavunjwa, na 2015 tukaletewa Rungwe ambayo Sauli Amon ndio mbunge kwa sasa, na Busokelo kwa Mwakibete kwa sasa hili jimbo analoongoza Sauli Amon litagawanywa na kuwa majimbo mawili yaani Rungwe na jimbo la Ukukwe.
Iko hivii jimbo la Ukukwe litaanzia Kata zote za tukuyu mpaka ikuti mpka huku ndagha.Na jimbo lingine litakuwa na kata za Masoko,Masukulu,Suma, Mpuguso kisondela na makao yao yatakuwa ushirika pale.
Lengo ni kumleta Dr Tulia Ackson Mwansasu ambaye ni naibu Spika aje agombee huko.
Kama mnakumbuka miezi ya August na September kulikuwa na Kongamano la ngoma za Kinyakyusa tunaitaga "Mpalano" kwetu.
Basi hilo ndio lilikuwa lengo la kumtangaza zaidi Dr. Tulia asije akawa mgeni kwenye macho ya watu.
Namaliza hivii... Mtanikumbuka kwa haya maneno.
Friday Malafyale gwa kukajaaa.
Kwani tumekuambia tunatangaza tatizo ??Tatizo lipo wapi?
Sasa ulitaka tukukumbuke kwa lipi la maana wakati huo ni utaratibu wa kawaida tu kiutawalaKwani tumekuambia tunatangaza tatizo ??
wewe kinachokuuma nnn sasa unavyoandika hayo?Sasa ulitaka tukukumbuke kwa lipi la maana wakati huo ni utaratibu wa kawaida tu kiutawala
Punguza povu dada,mie nimekuuliza tatizo nini mpaka tukukumbuke,kwa lipi haswa?wewe kinachokuuma nnn sasa unavyoandika hayo?
Utainamishwa bure mngese wewePunguza povu dada,mie nimekuuliza tatizo nini mpaka tukukumbuke,kwa lipi haswa?
Wapi Kasesera
Hatarudi kasesera Atasubiri teuzi za ukuu wa wilaya
Hii ni Kasesela vs Tulia...huuu mpambano utakua mzuriNa Kasesela ni mnyakyusa aliyeolea uchagani.Kwahiyo wewe na watoto wa Kasesela hamtofautiani sana!So kura yako ni muhimu kwake.
Majibu yako tu yanaonesha wewe ni mtu wa aina ganiUtainamishwa bure mngese wewe
Nawe uje uoneshe mtu wa aina gani kwendraaaMajibu yako tu yanaonesha wewe ni mtu wa aina gani
1:4Nawe uje uoneshe mtu wa aina gani kwendraaa
Sasa hivi wanaongozwa na nani?Huyu Tulia Nia Yake Ilikuw Agombee Mbeya Mjini..
Nadhani Kuna Watu Wenye Akili Timamu Walimwambia "SUGU" Atamuaibisha..
Turudi kwenye point::
Ina maana watanagawanya Jimbo Ili tu Tulia Awe Mbunge,Na sio kwa sababu za kimaendeleo...?
Wasilifikishe Ndaghaa hilo jimbo,wasafwa hawawezi kuongozwa na mnyakyusa
Nadhani ipo Jimbo La mbeya Vijijini.!!Sasa hivi wanaongozwa na nani?
Ipo chini ya Saul AmonNadhani ipo Jimbo La mbeya Vijijini.!!
Nisahihishe
Alaa ndio maana mipalano haishi huko Tukuyu mitaa ya Makandana,nilikuwa najiuliza hii mipalano ambayo kila mara inakuwa na waheshimiwa kulikoni?na Tukuyu hawana utamaduni wa sana wa mipalano kama tulivyoshuhudia mwaka jana.Kama ilivyo nakujaga na info za kutokea kule mkoani kwetu Mbeya. Kuna taarifa nyeti toka kwa watoa hizi taarifa kuwa Jimbo La Rungwe litagawanywa mara mbili.
Kumbuka miaka michache tulikuwa na Rungwe Mashariki na Rungwe Magharibi ikavunjwa, na 2015 tukaletewa Rungwe ambayo Sauli Amon ndio mbunge kwa sasa, na Busokelo kwa Mwakibete kwa sasa hili jimbo analoongoza Sauli Amon litagawanywa na kuwa majimbo mawili yaani Rungwe na jimbo la Ukukwe.
Iko hivii jimbo la Ukukwe litaanzia Kata zote za tukuyu mpaka ikuti mpka huku ndagha.Na jimbo lingine litakuwa na kata za Masoko,Masukulu,Suma, Mpuguso kisondela na makao yao yatakuwa ushirika pale.
Lengo ni kumleta Dr Tulia Ackson Mwansasu ambaye ni naibu Spika aje agombee huko.
Kama mnakumbuka miezi ya August na September kulikuwa na Kongamano la ngoma za Kinyakyusa tunaitaga "Mpalano" kwetu.
Basi hilo ndio lilikuwa lengo la kumtangaza zaidi Dr. Tulia asije akawa mgeni kwenye macho ya watu.
Namaliza hivii... Mtanikumbuka kwa haya maneno.
Friday Malafyale gwa kukajaaa.