Rupia: Hazina ya Mjerumani

Mwaka 2014 tulikuwa na mradi kule mpwapwa sehemu inaitwa kiboriani kuna mission Moja ya waanglican ilisemekana ilijengwa na mjerumani aliyeenda kujificha hapo baada ya Vita kupamba Moto.
Wajukuu zake wakaahidi kuja kujenga hapo kituo wakatuma hela Kwa askofu chiwanga ili majengo yaanze kujengwa.walipofikia kupaua wakaja wenyewe na kuonyesha mahali pa kuchimba usiku wakatoa bati za kutosha kupaua kile kituo baada ya kupaua wakaondoka na mpaka Leo kile kituo hakijamalizika.
 
Labda zipo kwel
Ila mikoa kama sumbawanga na shinyanga(gambushi) wangeshatuambia maana wale ndio wakubwa wa hayo mambo
 
hii kitu haina ukweli wowote kaka yangu alianza hizi mambo toka nipo shule ya msingi mpaka leo miaka saba toka nimalize chuo hajafanikiwa chochote. mwaka 2014 walimwingiza baba nae kwenye hii mambo wakakaa maporini mwaka mzima wakarudi watupu huu niuongo mtu matumaini makubwa mafanikio sifuri kila siku wanaahidiwa mapadre wa morovian ndo wanajua kutoa kwasababu wamefundishwa ujerumani lakini wapi

kaka ashakata tamaa baada ya miaka kama 16 hivi ya kusaka hizi mambo saa hii analima tumbaku

ila kuna historia tamu sana ukikuta wenyewe wanahadithiana
 
Mm n mzawa wa tukuyu uliyoyaongea n ukweli mtupu,,nakupongeza kwa hilo!! Pia kuna kule kunaitwa taraja la Mungu chini ya lile daraja yaani ndan ya maji pia nasikia kuna mali!! Ndio maana lile eneo lipo ndan ya chuo cha magereza!! Fafanua kama unalielewa vizur
 
MAKOSHNELI mkuu mimi pia naishi hapa jijini mbeya uliyoyaeleza mengi nayajua so mfano bwana Lena, soko la uhindini pia kuna mti kwa babu yangu inasemekana kuna rupia maeneo hayo kikweli hata tukienda kesho ilo eneo wamejaa nyuki na hawajawahi kuhama.
nitakuja kuwaondoa hao nyuki ili tukombe rupia ili tuishi kama malaika maana usawa huu chama tawala kinajua kinachofanya
 
Mali kubwa kuliko ote ni akili yako kichwani. Itumie.

Kuna siku mtu alituletea rupia ya Mjerumani hapa JF, anayo, anataka kuiuza, akifikiri nibutajiri.

Kwa sababu mimi ni mtu ninayetaka kutumia akili yangu, nikataka kuitafuta ile rupia online, nijue thamani yake.

Nilipopata thamanibyake onlins na kul8nganisha na mategemeo nilioata bumbuwazi.

Ilikuwa inapatikana kwa bei rahisi sana.
 
We jamaa haya ya kweli au story tu?
 
Nilioana documentary moja hawa jamaa walivyohamisha masanduku ya chuma kurudi kwao lakini time wasn't on their hands ilibidi nyingine wazifukie

Kama technology ingekuwa kama ili to leonamandege makubwa wangebeba kila kitu.
Samahani hiyoDocumentary inaitwaje
 
Ukienda KILWA MASOKO ulizia sehemu inaitwa kisiwani...watakuonyesha sandaku la chuma limepigwa minyororo lipo chini ya maji. Unaliona hata ukiwa kwenye mtumbwi...lakin hamna mtu amewahi lichukua, wameshajaribu sana. Hadi leo lipo
Duuu
 
Mkuu hiyo ya Lupembe ni kweli mbona sijawahi sikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio Lushoto huko.kwa CHE
 
Kuna mahandaki kibao yalichimbwa na hawa wajerumani. Hasa kwenye makanisa, mfano kwenye kanisa moja wapo Dodoma kuna kanisa lina handaki inasemekana linaenda umbali wa kama KM hadi chini ya mlima flan lkn handaki hilo limwfungwa kwa geri la nondo nene na kufuli lenye uzito kama wa kg 10 ma hakuna mwenye funguo. Kuna wajerumani walienda na camera zao miaka flan wakaendesha ibada kijeruman pale kisha wakapiga picha, wakaondoka.
 
Jamani ivi lupia bado inaitajika na vipi ile pesa yenye trekta kama Ivy League vitu dili nicheki apa 0629159317 call na whatsapp apo
 
Duh nimefatilia sana hii thread no body knows where the actual market is especially in Tanzania or east africa in general ama kweli ni utapeli mimi ninazo rupie zaidi ya moja ila sharti langu unaehitaji nitafute usibip na kama vp nitakuelekeza nilipo
 
Wadau, kama tumewahi sikia kwamba wajerumani waliacha Mali zao walizozichuma hapa kwetu kutokana na kile kinachosemekana ni kuondolewa ghafla na MWL.nyerere kutokana na agizo la UN.sasa ishu inapokuja ni pale ambapo watu wamebaini uwepo wa Mali hizo jinsi ya kuzichukua. Watu wengine hutumia waganga wa kienyeji lkn huambulia patupu, wengine hubahatika, wengine hupata madhara makubwa. Maswali tunaojiuliza ni je hawa wajeruman hatuwawezi?. Mchango wenu wadau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…