Sky eclat anachosema huyu jamaa kipo kuna watu wanakesha milimani kutafuta hizo maliKwanza soma historia vizuri usituletee hadithi za kubuni hapa. Wajerumani waliondoka baada ya WW I. Wakati huo mwalimu Nyerere alikuwa bado hajazaliwa.
Ni kweli Wajerumani waliondolewa ghafla baada ya kushindwa vita na League of Nations ambayo ndiyo Umoja wa Mataifa wa sasa ilikabidhi Tanganyika katika utawala wa Mwingereza kama guardian.
Hear say ni kuwa wakati wanazifukia wale wapagazi walioingiza masanduku walipigwa risasi na kufa wakiwa wameinama na walifukiwa hivyo. Hiyo ndiyo mizimu inayozilinda.Mkuu usemayo yapo kwetu kuna watu wamechimba mashimo uku wakidai kuna sanduku la kijermani chini wanatumia hata wiki
Sipingi kuwepo kwa rupia ila ninapiga upotoshaji wa historia kuwa Nyerere aliwatoa WajerumaniSky eclat anachosema huyu jamaa kipo kuna watu wanakesha milimani kutafuta hizo mali
AmekalilishwA halafu na yy anapanda jukwaani anaanza kutupa habari za uongo mwambie asome kwanza huyoKwanza soma historia vizuri usituletee hadithi za kubuni hapa. Wajerumani waliondoka baada ya WW I. Wakati huo mwalimu Nyerere alikuwa bado hajazaliwa.
Ni kweli Wajerumani waliondolewa ghafla baada ya kushindwa vita na League of Nations ambayo ndiyo Umoja wa Mataifa wa sasa ilikabidhi Tanganyika katika utawala wa Mwingereza kama guardian.
Afahamu kuwa wengine ingawa si wasomi lakini madarasani tuliingia.AmekalilishwA halafu na yy anapanda jukwaani anaanza kutupa habari za uongo mwambie asome kwanza huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
upo vizuri upstairs..... yaani kuanzia elimu ya sayansi... historia... na maisha kwa ujumla congratsKwanza soma historia vizuri usituletee hadithi za kubuni hapa. Wajerumani waliondoka baada ya WW I. Wakati huo mwalimu Nyerere alikuwa bado hajazaliwa.
Ni kweli Wajerumani waliondolewa ghafla baada ya kushindwa vita na League of Nations ambayo ndiyo Umoja wa Mataifa wa sasa ilikabidhi Tanganyika katika utawala wa Mwingereza kama guardian.
Asante mkuuupo vizuri upstairs..... yaani kuanzia elimu ya sayansi... historia... na maisha kwa ujumla congrats