Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kwanza soma historia vizuri usituletee hadithi za kubuni hapa. Wajerumani waliondoka baada ya WW I. Wakati huo mwalimu Nyerere alikuwa bado hajazaliwa.
Ni kweli Wajerumani waliondolewa ghafla baada ya kushindwa vita na League of Nations ambayo ndiyo Umoja wa Mataifa wa sasa ilikabidhi Tanganyika katika utawala wa Mwingereza kama guardian.
Ni kweli Wajerumani waliondolewa ghafla baada ya kushindwa vita na League of Nations ambayo ndiyo Umoja wa Mataifa wa sasa ilikabidhi Tanganyika katika utawala wa Mwingereza kama guardian.