Rupia: Hazina ya Mjerumani

Mwenye zile hela za matobo kuanzia mwaka 1916 kurudi nyuma tafadhali tuwasiliane
 
Gramu 1 ya original red mercury ambayo imehifadhiwa vyema ni zaidi ya Bil 12. Hata kama imepungua nguvu kwa maana ya mionzi yake bado inauzika na utapata bei safi tu. Pm me kwa details
Mkuu inauzwa wapi hiyo?
 
Embu tupe somo mkuu
 
chif umenikumbusha mbali sana
 
Mkuu hapo kwenye mitego ni hatari
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji115]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1], si mchezo aiseee
Hear say ni kuwa wakati wanazifukia wale wapagazi walioingiza masanduku walipigwa risasi na kufa wakiwa wameinama na walifukiwa hivyo. Hiyo ndiyo mizimu inayozilinda.
 
Money+Mashetani=Rupia
Power+Mashetani=Rupia

Rupia Zipo but zilihifadhiwa kishetani na zinatafutwa kishetani na kazi kubwa ya kishetani
ipo 1/2 rupia na 1 rupia
hiyo 1/2 haina issue but 1 rupia ndio mzigo

even jama ipo mahali huchimbwa usiku, maana kafara hufanyika ili zichukuliwe,

ukikuta mtu anayo yenyewe afu eti anaiuza ujue michezo ya kitapeli
japo wapo wenye bahati huzipata pasipo ushetani wowote tena itakuwa ni moja.

but hufanya kazi nyingi sana za kishetani kutokana na nguvu iliyoko ndani yake.

all in all rupia ilihifadhiwa kishetani ili mtu yeyote asiione
so kama wewe kuipata hauna tofauti na mtu anaye tafuta mali kwa njia ya mganga vile

namfahamu mzee mmoja kwetu alitoa kafara ili wapate hizo rupia, then hakuzipata waziuze wanafanyia kazi zao za kishirikina tu.

mie naujua upande huo kidogo tu hapo
 
Morogoro maeneo ya Mvuha kijiji cha Lukulunge kuna bwawa hivi flani, nakumbuka miaka ya 2000 kuna mGerman flani hivi alikuja akawa anajenga shule pale mvuha na lukulunge.
Yule mzungu alijenga porini kabisa pembezoni mwa bwawa kabisa, basi yle mzungu alijitolea kwa kila kitu yale maeneo. Baada ya miaka kadhaa yule mzungu akaenda zake na kutelekeza vitu vyote, na wale watu wake wa jirani waliambulia kupata ajar na kufariki
 
Naskia hata mbozi_songwe karibu na MTO mbimba zilikuwepo hizo TREASURES wazungu wa Chavda walizibeba
 
Kunajamaa aliniambia morogoro zipo mlimani lakini hamuwezi kuzipata hadi mtumie mambo ya kienyeji kwasababu zile hela ukifikilia kwenda kuzichukua huwa zinapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…