Rupia: Hazina ya Mjerumani

Rupia: Hazina ya Mjerumani

Hizi ni habari za kweli sio stori .rupee IPO .Mercury IPO .fufu mark IPO .habari nyingine ngumu ni kuwa the chosen one ..hivi vitu vipo na tunaishahidi sio story
 
Mimi ninazo hapa.. dili liko wapi?
IMG-20181229-WA0001.jpeg
IMG-20181229-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Vitu ambavyo Vipo, ni biashara ambayo ipo, na kuna Wanunuzi really ambao wapo, ambao ni Whites...

Sema ni biashara yenye Utaperi mkubwa, toka kwa Buyers na Sellers wenyewe.
Upo mzigo fake toka kwa sellers, Zipo Pesa fake toka kwa middle buyers

Wale wawakilishi wa Buyers Ndo wanaongoza kwa Utaperi, coz ni ngumu kumfikia Buyers at the first time lazima upite kwa hao Wawakilishi wao...
Na ukiwa Mshamba wa Biashara hiyo (Hata Kama umezaliwa na kukulia Dar) utaibiwa TU...
Watajaribu kukutaperi kwa njia za kawaida na wakishindwa watatumia nguvu, wanaweza kukutolea Bunduki uachie mzigo hafu wakaita Difenda ya Police.

Japo wale End buyers sio Mataperi, pia hawapendi Dhuluma.....

Muhimu Kama Una mzigo usiende Kichwa kichwa sokoni kisa tu unakujua Dar ama umezaliwa mjini... Utapigwa asubuhi TU...
Tafuta mtu mwenye uzoefu na hii biashara mwenye Connection ambaye ni mwaminifu atakuongoza kwenye soko la kweli....

Kumwita Buyer aje huko kijijini kununua mzigo huko huko ukidhani utakua Salama si dawa.....
Watakuja Wabongo wenye Matumbo makubwa na Magari ya Bei mbaya wakijifanya Wanunuzi kumbe ni Mataperi Wakubwa Utapigwa huko huko kijijini kwenu....

Kuwa na Ndugu mjini eti vile kazaliwa mjini ndo akusaidie Kuuza mzigo wako sio Dawa, Ndugu ataijua mitaa but hajui utaperi na Wizi unavyofanyika.... Mtaibiwa na Ndugu yako yupo hapo hapo.
 
Aiseeeee!!
Ni Vitu ambavyo Vipo, ni biashara ambayo ipo, na kuna Wanunuzi really ambao wapo, ambao ni Whites...

Sema ni biashara yenye Utaperi mkubwa, toka kwa Buyers na Sellers wenyewe.
Upo mzigo fake toka kwa sellers, Zipo Pesa fake toka kwa middle buyers

Wale wawakilishi wa Buyers Ndo wanaongoza kwa Utaperi, coz ni ngumu kumfikia Buyers at the first time lazima upite kwa hao Wawakilishi wao...
Na ukiwa Mshamba wa Biashara hiyo (Hata Kama umezaliwa na kukulia Dar) utaibiwa TU...
Watajaribu kukutaperi kwa njia za kawaida na wakishindwa watatumia nguvu, wanaweza kukutolea Bunduki uachie mzigo hafu wakaita Difenda ya Police.

Japo wale End buyers sio Mataperi, pia hawapendi Dhuluma.....

Muhimu Kama Una mzigo usiende Kichwa kichwa sokoni kisa tu unakujua Dar ama umezaliwa mjini... Utapigwa asubuhi TU...
Tafuta mtu mwenye uzoefu na hii biashara mwenye Connection ambaye ni mwaminifu atakuongoza kwenye soko la kweli....

Kumwita Buyer aje huko kijijini kununua mzigo huko huko ukidhani utakua Salama si dawa.....
Watakuja Wabongo wenye Matumbo makubwa na Magari ya Bei mbaya wakijifanya Wanunuzi kumbe ni Mataperi Wakubwa Utapigwa huko huko kijijini kwenu....

Kuwa na Ndugu mjini eti vile kazaliwa mjini ndo akusaidie Kuuza mzigo wako sio Dawa, Ndugu ataijua mitaa but hajui utaperi na Wizi unavyofanyika.... Mtaibiwa na Ndugu yako yupo hapo hapo.
 
Dah! Nimewahi endesha baiskeli zaidi ya km 200 kufukuziA rupia na mecury. Yaani akili zinahama. Unafukuziaaaa mwisho wa siku Eti Inataka muwe Wahusika 20 wakati wewe ulihangaika peke YAKO. Sitaki tena kusikia haya mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikia tena story nyingine mbili za kufukuzia rupee hivi karibuni, nimetega sikio wee nione walivyozitia mikononi, 🙅‍♀️Holaa
 
Hizi mambo zipo sababu kwa upande wangu nimebahatika kuzijua kwa msaada fulani ila sio mfatiliaji sana huwa siwekei maanani sana, kuna kikundi cha watu walikua wanatafuta sana hizi mali nilikutana nao lakini kwa muongozo niliona wana tatizo kidogo lakini sikuamua kujali sana nakumbuka mwaka jana nilijaribu kuwapelekea kitu kati ya vitu wanavyohitaji asee sisahau ile siku ilikua kila nikibeba kitu sifiki mbali kinarudi nyumba niliyofikia zaidi ya mara nne nilipata maelezo kidogo ya kuwahoji matokeo yake wakawa hawaeleweki mwisho kitu chenyewe kikarudi mahala pa kwanza kilipotoka...kwa tukio lile hata wife alijua kuwa havikua vitu vya kawaida..sijaeleza kwa mfuatano mzuri kwasababu binafsi ila hizi vitu vipo ila kubahatika kuvijua ni bahati tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinarudije hebu fafanua kidogo kama hutojali
Hizi mambo zipo sababu kwa upande wangu nimebahatika kuzijua kwa msaada fulani ila sio mfatiliaji sana huwa siwekei maanani sana, kuna kikundi cha watu walikua wanatafuta sana hizi mali nilikutana nao lakini kwa muongozo niliona wana tatizo kidogo lakini sikuamua kujali sana nakumbuka mwaka jana nilijaribu kuwapelekea kitu kati ya vitu wanavyohitaji asee sisahau ile siku ilikua kila nikibeba kitu sifiki mbali kinarudi nyumba niliyofikia zaidi ya mara nne nilipata maelezo kidogo ya kuwahoji matokeo yake wakawa hawaeleweki mwisho kitu chenyewe kikarudi mahala pa kwanza kilipotoka...kwa tukio lile hata wife alijua kuwa havikua vitu vya kawaida..sijaeleza kwa mfuatano mzuri kwasababu binafsi ila hizi vitu vipo ila kubahatika kuvijua ni bahati tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naskia hata mbozi_songwe karibu na MTO mbimba zilikuwepo hizo TREASURES wazungu wa Chavda walizibeba
Hapa Mbimba kuna uwezekano mkubwa kwanza lile bwawa lina miujiza ya kumeza wengi pia mradi wa utafiti wa mbegu za kahawa unaolizunguka bwawa hilo unafadhiliwa na EU inadaiwa njia ya kuingilia kwenye ipo katikati ya bwawa hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom