Rusha roho ndo yenyewe bana.
Mimi ni mkazi we maeneo ya uswahilini, yaani huku kwetu ni kelele tupu usiku kuanzia ijumaa mpaka juma pili !! ni kelele za miziki maarufu kama rusha roho!!!
Kinachoshangaza huwa wanapiga hiyo miziki usiku kucha afu mchana wanaizima.........what sort of a fallacy!!!!!????
:angry:
halafu wewe ndio huwa unatia nakshi kwa kuweka vibwagizo kwa sauti yako nzito
halafu wewe ndio huwa unatia nakshi kwa kuweka vibwagizo kwa sauti yako nzito
Rusha roho bila vibwagizo haijakamilika
Rusha roho bila vibwagizo haijakamilika
nawe huwa unacheza izi nyimbo za kusakata nyonga?
Huwa nacheza nyuma ya wowowo la mamako.
aiseeeeeeeeeeeeehhhhhhhhhh hebu jiheshimu juu ya mama wa mwenzioHuwa nacheza nyuma ya wowowo la mamako.
Mimi ni mkazi we maeneo ya uswahilini, yaani huku kwetu ni kelele tupu usiku kuanzia ijumaa mpaka juma pili !! ni kelele za miziki maarufu kama rusha roho!!!
Kinachoshangaza huwa wanapiga hiyo miziki usiku kucha afu mchana wanaizima.........what sort of a fallacy!!!!!????
:angry: