Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 853
- 440
Mimi ni mkazi we maeneo ya uswahilini, yaani huku kwetu ni kelele tupu usiku kuanzia ijumaa mpaka juma pili !! ni kelele za miziki maarufu kama rusha roho!!!
Kinachoshangaza huwa wanapiga hiyo miziki usiku kucha afu wanaizima asubuhi.........what sorts of a fallacy!!!!!????
:angry:
Kinachoshangaza huwa wanapiga hiyo miziki usiku kucha afu wanaizima asubuhi.........what sorts of a fallacy!!!!!????
:angry: