Rushwa Ilivyo Muharibia Prof. Anna Tibaijuka

Rushwa Ilivyo Muharibia Prof. Anna Tibaijuka

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Bila shaka Prof. Anna Tibaijuka yupo miongoni mwa binafamu na akina mama wenye CV zilizoshiba. Kitaaluma na uzoefu wake wa kazi katika ofisi za juu kabisa duniani singemfanya awe mama wa mfano duniani.
Ila nyota yake ilizimwa kama mshumaa baada ya yeye kuingia kwenye siasa. Kutokana na uchapa kazi wake na elimu yake, wanamuleba wakamuamini awe mwakilishi wao. Kuchaguliwa kuwa mbunge kukampa nafasi ya kupata Uwaziri. Madudu aliyoyafanya huko hata yeye mwenyewe nafsi yake huwa inamsuta. Sakata la TEGETA ESCROW likamuumbua sana hadi anakosa namna ya kujitetea. Akajawa na kibri na Mungu akaona amuweke nje ya siasa.

ANNA NI TUNU ILIYO HARIBIKA.
 
Bila shaka Prof. Anna Tibaijuka yupo miongoni mwa binafamu na akina mama wenye CV zilizoshiba. Kitaaluma na uzoefu wake wa kazi katika ofisi za juu kabisa duniani singemfanya awe mama wa mfano duniani.
Ila nyota yake ilizimwa kama mshumaa baada ya yeye kuingia kwenye siasa. Kutokana na uchapa kazi wake na elimu yake, wanamuleba wakamuamini awe mwakilishi wao. Kuchaguliwa kuwa mbunge kukampa nafasi ya kupata Uwaziri. Madudu aliyoyafanya huko hata yeye mwenyewe nafsi yake huwa inamsuta. Sakata la TEGETA ESCROW likamuumbua sana hadi anakosa namna ya kujitetea. Akajawa na kibri na Mungu akaona amuweke nje ya siasa.

ANNA NI TUNU ILIYO HARIBIKA.
Wasomi wa Tanzania kama huyu Tibaijuka ni very overrated.

Nilimsikiliza last week kahojiwa na Clouds FM.

Wakamuuliza kuhusu kuandika vitabu, anasema aandike atasoma nani sasa?

Yani katika usomi wake wote, hajaweza kufikiri kuandika for posterity, anaona kuandika ni kwa ajili ya watu wa sasa tu.

Nikasema hawa ndio ma profesa wetu, wasomi!
 
Bila shaka Prof. Anna Tibaijuka yupo miongoni mwa binafamu na akina mama wenye CV zilizoshiba. Kitaaluma na uzoefu wake wa kazi katika ofisi za juu kabisa duniani singemfanya awe mama wa mfano duniani.
Ila nyota yake ilizimwa kama mshumaa baada ya yeye kuingia kwenye siasa. Kutokana na uchapa kazi wake na elimu yake, wanamuleba wakamuamini awe mwakilishi wao. Kuchaguliwa kuwa mbunge kukampa nafasi ya kupata Uwaziri. Madudu aliyoyafanya huko hata yeye mwenyewe nafsi yake huwa inamsuta. Sakata la TEGETA ESCROW likamuumbua sana hadi anakosa namna ya kujitetea. Akajawa na kibri na Mungu akaona amuweke nje ya siasa.

ANNA NI TUNU ILIYO HARIBIKA.
Kikwete alisema, Hizo pesa siyo za serikali
 
wiki iliyopita kama sikosei nilimsikia akihojiwa pale clouds fm, yule mama anavyoelezea yanayoendelea huko serikalini hata kama ingekuwa mimi niko kwenye umri wake ningefanya hayo unayoyasema kayafanya nimalizie maisha yangu hapa duniani ,tatizo la hii nchi ni mfumo, .wenye taaluma zao hawapewi nafasi ya kusikilizwa anasikilizwa zaidi mwanasiasa,
 
Wasomi wa Tanzania kama huyu Tibaijuka ni very overrated.

Nilimsikiliza last week kahojiwa na Wasafi Media.

Wakamuuliza kuhusu kuandika vitabu, anasema aandike atasoma nani sasa?

Yani katika usomi wake wote, hajaweza kufikiri kuandika for posterity, anaona kuandika ni kwa ajili ya watu wa sasa tu.

Nikasema hawa ndio ma profesa wetu, wasomi!
Umeamsoma lakini? Prof. Anna ni professor wa kweli siyo hizo honorary degree za wengine.
Prof. ameandika vitabu kadhaa mfano ni Building Prosperity na Strategies for Small Agricultural Development in West Lake Region.
 
Umeamsoma lakini? Prof. Anna ni professor wa kweli siyo hizo honorary degree za wengine.
Prof. ameandika vitabu kadhaa mfano ni Building Prosperity na Strategies for Small Agricultural Development in West Lake Region.
That is irrelevant to my point.

My point ni kwamba kaulizwa aandike kuhusu maisha yake, akasema aandike atasoma nani?

Kwanza wa kusoma tupo. Mimi sasa hivi nasona kitabu cha Mwapachu kimechapishwa mwaka jana. Kwa hivyo watu wa kusoma tupo.

Halafu pili, msomi kama yeye anatakiwa kujua kuwa kuandika ni kuweka record for posterity, hata kama watu wa kusoma hawapo, miaka ijayo watasoma tu.

Tunatofautiana standards.

That answer was ignorant. Especially from a professor.


View: https://youtu.be/KgbOViJnBfA?si=bij_D5-ZIi60CSbB
 
That is irrelevant to my point.

My point ni kwamba kaulizwa aandike kuhusu maisha yake, akasema aandike atasoma nani?

Kwanza wa kusoma tupo. Mimi sasa hivi nasona kitabu cha Mwapachu kimechapishwa mwaka jana. Kwa hivyo watu wa kusoma tupo.

Halafu pili, msomi kama yeye anatakiwa kujua kuwa kuandika ni kuweka record for posterity, hata kama watu wa kusoma hawapo, miaka ijayo watasoma tu.

Tunatofautiana standards.

That answe was ignorant. Especially from a professor.


View: https://youtu.be/KgbOViJnBfA?si=bij_D5-ZIi60CSbB

Kiranga ambacho huwelewi ni kwamba hana confidence ya kuandika kuhusu maisha yake coz yaliharibika. Siyo kwamba hawezi kuandika, ila tu anaona ataandika uongo au akubali kujichoresha ili atoe funzo kwa wengine.
 
kama kuna kaekweli hivi
Kwanza wasomaji tupo.

Mimi nasoma kitabu cha Mwapachu kimechapishwa mwaka jana. Kila mwaka naletewa vitabu kutoka Tanzania angalau mara mbili.Nimesoma vitabu vitatu vya Nyerere vya Issa Shivji, Ng'wanza Kamata, na Saida Yahya Othman. Nimesoma "From Goatheard to Governor" cha Edwin Mtei. Nimesoma "Mzee Rukhsa" cha Mwinyi. Nimesoma "My Life My Purpose: A Tanzanian President Remembers" cha Mkapa.

Hivyo vya mwaka mmoja au miwili tu iliyopita, vinavyojulikana sana kuhusu Tanzania.

Kwa hivyo, wasomaji tupo.

Zaidi, wasomi hawaandiki kwa watu wa sasa tu, wanaandika kwa vizazi vijavyo.

Maana yake, kauli ya Profesa Tibaijuka kwamba aandike nani atasoma, ni kauki ya mawqzo mafupi. Katika hiki Tibaijuka ama hataki kuandika kwa kuficha vitu fulani, ama ana mawazo mafupi haeleqi kuwa msomi anaandika for postwrity hata kama leo hakuna wasomaji, miaka 20, 30 50, 100 kut9ka keo, watu watasoma tu.
 
Kwanza wasomaji tupo.

Mimi nasoma kitabu cha Mwapachu kimechapishwa mwaka jana. Kika mwaka naletewa vitabu kutoka Tanzania angalau mara mbili.Nimesoma vitabu vitatu vya Nyerere vya Issa Shivji, Ng'wanza Kamata, na Saida Yahya Othman. Nimesoma "From Goatheard to Governor" cha Edwin Mtei. Nimesoma "Mzee Rukhsa" cha Mwinyi. Nimesoma "My Life My Purpose: A Tanzanian President Remembers" cha Mkapa.

Hivyo vya mwaka mmoja au miwili tu iliyopita, vinavyojulikana sana kuhusu Tanzania.

Kwa hivyo, wasomaji tupo.

Zaidi, wasomi hawaandiki kwa watu wa sasa tu, wanaandika kwa vizazi vijavyo.

Maana yake, kauki ya Profesa Tibaijuka kwamba aandike nani atasoma, ni kauki ya mawqzo mafupi. Katika hiki Tibaijuka ama hataki kuandika kwa kuficha vitu fulani, ama ana mawazo mafupi haeleqi kuwa msomi anaandika for postwrity hata kama leo hakuna wasomaji, miaka 20, 30 50, 100 kut9ka keo, watu watasoma tu.
Kuna vitu anaficha. Na vinajulikana wazi.
 
Kiranga ambacho huwelewi ni kwamba hana confidence ya kuandika kuhusu maisha yake coz yaliharibika. Siyo kwamba hawezi kuandika, ila tu anaona ataandika uongo au akubali kujichoresha ili atoe funzo kwa wengine.
Hili nalielewa na nimeligusia hapo juu kwenye post namba 14 kabla ya kusoma post yako.

Na hili ulilolisema linatia doa usomi wake.

Usomi ni pamoja na kuwa mtu mwenye integrity kiasi akaishi maisha yaliyonyooka, aweze kuyaandika bila shida.

Siyo mtu anayekuwa muongomuongo tu na mla rushwa mpaka akiambiwa aandike maisha yake analaumu watu hawasomi, wakati tatizo ni maisha yake yana rushwa ambazo hawezi kuzielezea.

Tibaijuka siku moja alikuwa anaongea wazi kabisa kwamba kuna wakati alikuwa Zimbabwe (UN HABITAT) anamsaidia Mugabe kudanganya data za mambo ya makazi Zimbabwe ili Mugabe ashinde uchaguzi.

Yani huyu mtu anayeitwa msomi Tanzania hakuona tabu kumsaidia Mugabe kudanganya data za makazi, halafu hakuona haya kuongelea hili waziwazi.

Hawa ndio wasomi wetu!
 
Kuna vitu anaficha. Na vinajulikana wazi.
Nimelitaja hili awali tangu post 14.

Na kuficha huku kunaonesha lack of integrity.

Msomi anatakiwa kuwa na integrity.

Akikosa integrity, hata hizo degrees zake tutaziwekea shaka kama kazipata yeye mwenyewe au kafanyiwa kazi na watu tu alipokuwa mke wa balozi Tibaijuka.

Mtu anayemsaidia Mugabe kuiba uchaguzi atashindwaje kujisaidia yeye mwenyewe kuiba degrees?
 
Bila shaka Prof. Anna Tibaijuka yupo miongoni mwa binafamu na akina mama wenye CV zilizoshiba. Kitaaluma na uzoefu wake wa kazi katika ofisi za juu kabisa duniani singemfanya awe mama wa mfano duniani.
Ila nyota yake ilizimwa kama mshumaa baada ya yeye kuingia kwenye siasa. Kutokana na uchapa kazi wake na elimu yake, wanamuleba wakamuamini awe mwakilishi wao. Kuchaguliwa kuwa mbunge kukampa nafasi ya kupata Uwaziri. Madudu aliyoyafanya huko hata yeye mwenyewe nafsi yake huwa inamsuta. Sakata la TEGETA ESCROW likamuumbua sana hadi anakosa namna ya kujitetea. Akajawa na kibri na Mungu akaona amuweke nje ya siasa.

ANNA NI TUNU ILIYO HARIBIKA.
Chumvi ikisha haribika itiwe nini tena ili ikolee zaidi ya kutupwa nje na kukanyagwa?
 
wiki iliyopita kama sikosei nilimsikia akihojiwa pale clouds fm, yule mama anavyoelezea yanayoendelea huko serikalini hata kama ingekuwa mimi niko kwenye umri wake ningefanya hayo unayoyasema kayafanya nimalizie maisha yangu hapa duniani ,tatizo la hii nchi ni mfumo, .wenye taaluma zao hawapewi nafasi ya kusikilizwa anasikilizwa zaidi mwanasiasa,
Uroho tu.

Huyu mama ni kati ya watu waliokula maisha, tangu anasoma, yuko mke wa balozi mpaka kufanya kazi UN. Huyu mama alikuwa Special Envoy wa UN hapo UN HABITAT.

Huyu mama maisha yake yalishakuwa fresh kitambo sana, ana pensheni ya umoja wa mataifa, tena ya top levels za kina Dr. Asha Rose Migiro na Dr. Augustine Mahiga wala hakuhitaji hivi virushwarushwa vya Bongo.

Kajichafulia mwenyewe CV kwa uroho tu.
 
Back
Top Bottom